Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu hii Cluster niliyoizungushia nimeipenda 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 👇

1744620184443.png
 
Mimi nawashaangaaga sana wakenya wanavyosemaga eti wao ndio wapush wasaniii wetu views YouTube na na kwenye mitandao ya kijamii ilihali kiuhalisia mambo kama haya ndio yanadhihirisha 👆🏾👆🏾 ukweli sasa hapo watakumbia eti followers wengi wa tff ni wakenya
Kenyans ni watu wa kushout sana.

Kwa upande wa Internet users kwa Africa, Tanzania imeizidi sana Kenya. Huu ndo ukweli.
Lakin wao wanapenda takwimu zao za kutengeneza na kurank
 
Kenyans ni watu wa kushout sana.

Kwa upande wa Internet users kwa Africa, Tanzania imeizidi sana Kenya. Huu ndo ukweli.
Lakin wao wanapenda takwimu zao za kutengeneza na kurank
Kwa hivo tutumie hizi takwimu zako za 'si Mimi ndio nakushow' AKA, 'trust me bro' tuachane na takwimu za AI sivyo?

Hapo kwenu Hadi saahii watu mnaoishi mjini mnaongelea 'bando' alafu mbishane na sisi kwenye swali la internet wakati huku Kila nyumba ina WiFi? In fact we shamed you guys on this thread so much for it Hadi siku hizi mmeacha tabia ya kupost video alafu mnasema 'hawatawatch, hawana bando'

Tanzanians who have experienced both sides know the truth. Msikize dadako.


View: https://vm.tiktok.com/ZMBbmyNGy/
 
Kwa hivo tutumie hizi takwimu zako za 'si Mimi ndio nakushow' AKA, 'trust me bro' tuachane na takwimu za AI sivyo?

Hapo kwenu Hadi saahii watu mnaoishi mjini mnaongelea 'bando' alafu mbishane na sisi kwenye swali la internet wakati huku Kila nyumba ina WiFi? In fact we shamed you guys on this thread so much for it Hadi siku hizi mmeacha tabia ya kupost video alafu mnasema 'hawatawatch, hawana bando'

Tanzanians who have experienced both sides know the truth. Msikize dadako.


View: https://vm.tiktok.com/ZMBbmyNGy/

Umesema Tanzanian ananunua data ya 20 bob to use on a 2G hili ashindane na majority of Kenyans using WiFi with 15-20MBPS speed?😂😂

Nakumbuka kitambo in 2018 walikazana ati lazima wakenya waende uhuru park ndio watumie WiFi. By that time Wifi was a new word to them. Siku hizi wengine wamekubali kujifungulia hotspot hili waonekane wanatumia Wifi😂😂
 
Umesema Tanzanian ananunua data ya 20 bob to use on a 2G hili ashindane na majority of Kenyans using WiFi with 15-20MBPS speed?😂😂

Nakumbuka kitambo in 2018 walikazana ati lazima wakenya waende uhuru park ndio watumie WiFi. By that time Wifi was a new word to them. Siku hizi wengine wamekubali kujifungulia hotspot hili waonekane wanatumia Wifi😂😂
Govi Master 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kenyans ni watu wa kushout sana.

Kwa upande wa Internet users kwa Africa, Tanzania imeizidi sana Kenya. Huu ndo ukweli.
Lakin wao wanapenda takwimu zao za kutengeneza na kurank
Sasa Tanzania itashindaje Kenya in terms of internet users while only 20% of Tanzanians own smartphones?
 
Umesema Tanzanian ananunua data ya 20 bob to use on a 2G hili ashindane na majority of Kenyans using WiFi with 15-20MBPS speed?😂😂

Nakumbuka kitambo in 2018 walikazana ati lazima wakenya waende uhuru park ndio watumie WiFi. By that time Wifi was a new word to them. Siku hizi wengine wamekubali kujifungulia hotspot hili waonekane wanatumia Wifi😂😂
Yani hawaoni free WiFi ni progress. Nchi Ina free WiFi kwa parks alafu nyinyi bado mnstruggle na 'bando' alafu mnaona mmewashinda kisa Dayamondi Ako na subscribers millioni tisa YouTube.🤣
 
Back
Top Bottom