Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Magofu ya mradi uliokufa wa mfumo wa usafiri wa mabasi ya mwendokasi jijini Nairobi huku saccos za matatu zikizidi kuota mizizi kama usafiri wa kutoka na kuingia CBD kwenda Murang'a, Kirinyaga, Kiambu n.k kulala baada ya hekaheka za mchana kutwa kutafuta fedha mjinikati Nairobi

13 April 2025
Nairobi, Kenya

2 Billion Kenya shillings gone and no Bus Rapid Transit System , BRT


View: https://m.youtube.com/watch?v=SZNhpz3QLw4
 
Magofu ya mradi uliokufa wa mfumo wa usafiri wa mabasi ya mwendokasi jijini Nairobi huku saccos za matatu zikizidi kuota mizizi kama usafiri wa kutoka na kuingia CBD kwenda Murang'a, Kirinyanga, Kiambu n.k baada ya hekaheka za mchana kutafuta fedha mjinikati Nairobi

13 April 2025
Nairobi, Kenya

2 Billion Kenya shillings gone and no Bus Rapid Transit System , BRT


View: https://m.youtube.com/watch?v=SZNhpz3QLw4

Jamaa anatia sana huruma, hadi anataka kulia….😢
 
Wewe ni pumbavu, acha nikuache na wewe uendelee kutetea Nick Mwendwa. Goodbye.
Last federation almost killed Kenyan football. Usiongelee mambo usiyoyajua.
ho
Last federation almost killed Kenyan football. Usiongelee mambo usiyoyajua.
[/QUOTE
How
 
In 2016 my former school did what other Kenyan School could not do in 13yrs.

They went all out and became the East African Schools Football Champion.

1744571059980.png
 
Umeua mende kwa nyundo mkuu, huyo huwa anaumia sn na ma slums yaliyotapakaa Kenya nzima, anatamani aamke akute hakuna ma slums, unakumbuka aliwahi kukuambia ataingia Google ayafute yotee, mwaka wa tano huu ma slums yame triple 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom