mwaiofhawaii
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 4,812
- 5,263
This part alone can be a major city in Africa ..
Basi nyamaza, najua inakuuma ndio maana huwezi nyamaza.Facts zipi baba .? hatutaki. 🤣🤣🤣
Hawa wanaharibu sn Kiswahili, wangebaki na broken zao tu.Kuropoka na si kuropokwa!
Kwamba mmeanza kuunda magari na hatujui? Hebu tuambie ni kiwanda gn hicho kinachounda magari huko hopeless country.Hii wanapita wima ni kama hawaoni🤣🤣
Mbona una crop picha, upande wa pili pako hivi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kitu anacho lalamika ichoboy01 kila siku, mama anapigwa sana au huenda naye anashiriki, Rais wa nchi haiwezekani unatoa pesa nyingi hivyo alafu hakuna kinachofanyika na unakaa kimya, naye anashiriki.Ila nyie jamaa wa humu tuache utani. Kuna ujinga kwa Mkapa hapo Tsh. 31 Billions na Pitch iko kama Jaruba la mpunga.
Yaani mpaka aibu yaani.
View attachment 3298204
Hao viongozi wetu wana akili gani vile?
Huyo mkandarasi wa Uwanja wa Dodoma Limonta ni expert wa PITCH ndio maana tenda yake Bernabeu ilikua for Pitch why wasingegawana na Mchina pale mkapa atengeneze Hybrid Pitch.
Imagine Tsh. 30 billions, Vyoo bado, Viti bado, Pitch ovyo ulichobadilisha Running Track, na TV tu.
What embarrassing moment.
Eneo lote liko empty, mapengo kibao, major city ya magovi labda. Kariakoo is way better than this.This part alone can be a major city in Africa ..
View attachment 3298328
na mulikua munapewa msaada na kushangilia 😂😂😂😂😂Huna aibu, 6 million kenya shillings!??
walidhani nondo ni kama bajia 😂😂😂"Tuliweka nondo nono"
Ugua pole bongolala. Made in Kenya by Master Fabricators for Tanzanian roads.Kwamba mmeanza kuunda magari na hatujui? Hebu tuambie ni kiwanda gn hicho kinachounda magari huko hopeless country.
Bongolala, that's Nairobi National Park in the background. Show us any residential area in Dar is slum with such density and highrises like South C above tuone.Eneo lote liko empty, mapengo kibao, major city ya magovi labda. Kariakoo is way better than this.
View attachment 3298598
Do you know the meaning of a cropped picture wewe mnyamwezi?Mbona una crop picha, upande wa pili pako hivi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3298542
Kwahiyo uwanja ukichezewa mechi nyasi hazitifuki? Nn maana ya uwanja wa nyasi halisi huhiyaji matunzo makubwa?Ila nyie jamaa wa humu tuache utani. Kuna ujinga kwa Mkapa hapo Tsh. 31 Billions na Pitch iko kama Jaruba la mpunga.
Yaani mpaka aibu yaani.
View attachment 3298204
Hao viongozi wetu wana akili gani vile?
Huyo mkandarasi wa Uwanja wa Dodoma Limonta ni expert wa PITCH ndio maana tenda yake Bernabeu ilikua for Pitch why wasingegawana na Mchina pale mkapa atengeneze Hybrid Pitch.
Imagine Tsh. 30 billions, Vyoo bado, Viti bado, Pitch ovyo ulichobadilisha Running Track, na TV tu.
What embarrassing moment.