malizaaaaaa mnyonge.🤣🤣🤣🤣🤣
Picha ya 1969, atakuambia mtanganyika ili tu kuficha aibu View attachment 3298021
malizaaaaaa mnyonge.🤣🤣🤣🤣🤣
Picha ya 1969, atakuambia mtanganyika ili tu kuficha aibu View attachment 3298021
Juakali League.
Aliyekuambia hio ni league ni nani? Punguza kuropokwa kama hujui kitu.Juakali League.
Kuropoka na si kuropokwa!Aliyekuambia hio ni league ni nani? Punguza kuropokwa kama hujui kitu.
Hii wanapita wima ni kama hawaoni🤣🤣Built in Kenya by Kenyans for Tanzanians. The First bus was built by Master and the second bus by AVA.
View attachment 3298055
08 April 2025
Nairobi, Kenya
Jiji letu Nairobi, zuri kwa drone lakini ukitembea kwa miguu ndiyo utaliona jiji ktk uhalisia wake
View: https://m.youtube.com/watch?v=LqrGTT8ikng
The Kenyan historian anakatisha mitaa ya mjini kati CBD ya jiji hili lenye sifa kibao Haile Sellasie, Kenyatta Avenue, Kimathi na mitaa mingine tajwa... matatu.... bodaboda ... wafanyabiashara wafunguka kuhusu jiji lao pendwa ...
These guys are very easy to read , Wanafanyanga projection, wanasema yale yanayoendelea kwao na hata hawaoni wanajianika- makosaa😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Picha ya 1969, atakuambia mtanganyika ili tu kuficha aibu View attachment 3298021
Hujajibu hoja unarukia mada nyingine. 🤣🤣🤣🤣 kwanini nje ya mahakama kuna parasols za kuuza vitumbua.? Unadai ni maasai market 🤣🤣🤣 sasa inakuaje nje ya jengo muhimu kama mahakama kuu kunakua na hawkers shades like this.? 👇🏾View attachment 3297117je hapa ni bunjumbura.? 🤣🤣
Hapa ni home grounds ya ulinzi stars 😂😂 and its not the only one, Ulinzi also use Afraha stadium as home ground.. what elseJuakali League.
Poleni baana,Ila nyie jamaa wa humu tuache utani. Kuna ujinga kwa Mkapa hapo Tsh. 31 Billions na Pitch iko kama Jaruba la mpunga.
Yaani mpaka aibu yaani.
View attachment 3298204
Hao viongozi wetu wana akili gani vile?
Huyo mkandarasi wa Uwanja wa Dodoma Limonta ni expert wa PITCH ndio maana tenda yake Bernabeu ilikua for Pitch why wasingegawana na Mchina pale mkapa atengeneze Hybrid Pitch.
Imagine Tsh. 30 billions, Vyoo bado, Viti bado, Pitch ovyo ulichobadilisha Running Track, na TV tu.
What embarrassing moment.
We tuambie kwanini uhuru stadium iko Na pengu kubwa hivoHaya mauwazi yanakuaga ya nn?View attachment 3297791
Poleni baana,
Meanwhile…View attachment 3298209
Cheki hio pitch mtu wangu
View: https://youtu.be/KDa2xJSMekI
View: https://youtu.be/qmHojL3NwTg?si=N-LRmbEYHCYJUx6c
By next year, Westlands will have a big skyline than CBD