Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eneo lote liko empty, mapengo kibao, major city ya magovi labda. Kariakoo is way better than this.
View attachment 3298598

It's called the Nairobi National Park, you moron. Proof you've never left your god-forsaken country.
The only Capital City in the World with a National Park on its door step.
😅 😅 😅 😅
Bongolala
 
It's called the Nairobi National Park, you moron. Proof you've never left your god-forsaken country.
The only Capital City in the World with a National Park on its door step.
😅 😅 😅 😅
Bongolala
And he's busy comparing South C with Kariakoo!😂😂

I have always said that Dar ni Posta na Kariakoo and to some extent Upanga. The rest of the areas ni vichekesho tu. Sasa akilinganisha Kariakoo na South C what will we compare the likes of Upper Hill, Westlands, Parklands, Kilimani, Kileleshwa, Eastleigh or even Ngara and the rest with? Says a lot about Dar. Ushuzi mtupu
 
Hapakuwa na fungulia mbwa hapo makwapa, 😂😂😂😂😂
1000004573.jpg
 
Kwahiyo uwanja ukichezewa mechi nyasi hazitifuki? Nn maana ya uwanja wa nyasi halisi huhiyaji matunzo makubwa?
Unaelewa mzee kinachoongelewa?
Kwa hiyo pitch yetu imetengenezwa kwa ajili ya Jua tu, not All weather kiasi mvua ikinyesha inageuka Jaruba?

Pitch Drainage system shida maji kutuama na bado unafanya marekebisho ambayo hayaonekani zaidi ya Running Track toka 2023?

Mbona before walikua vizuri kuitunza? Iweje leo igeuke jaruba?

Hii mechi mvua ilinyesha that day ila angalia pitch ilivyo?


View: https://youtu.be/Zdm58rfdQ1I?si=BE3mIn0cEWQ3hDF9

Mzee don't look me with hatred ya Magufuli, look at the reality.

If kwako ni sawa tu basi hakuna shida.

Ila ni aibu kubwa kuwa broadcasted na hii pitch


View: https://youtu.be/v7TZTAl3ZSY?si=nW5uh9RL9jjcp3Do
 
Ila Kunyans sometimes mnakua kama makundi ya kondoo kiakili. Look carefully viti viliondolewa hakuna viti eneo hilo.

Yaani jau mmoja akisema yote yanaingia kama kondoo
Wanakafatiaha kale ka pumbavu kenye govi. 🤣🤣🤣 hapo unaeza Ona very clear kwamba viti vya eneo hilo vimeondolewa.
 
Unaelewa mzee kinachoongelewa?
Kwa hiyo pitch yetu imetengenezwa kwa ajili ya Jua tu, not All weather kiasi mvua ikinyesha inageuka Jaruba?

Pitch Drainage system shida maji kutuama na bado unafanya marekebisho ambayo hayaonekani zaidi ya Running Track toka 2023?

Mbona before walikua vizuri kuitunza? Iweje leo igeuke jaruba?

Hii mechi mvua ilinyesha that day ila angalia pitch ilivyo?


View: https://youtu.be/Zdm58rfdQ1I?si=BE3mIn0cEWQ3hDF9

Mzee don't look me with hatred ya Magufuli, look at the reality.

If kwako ni sawa tu basi hakuna shida.

Ila ni aibu kubwa kuwa broadcasted na hii pitch


View: https://youtu.be/v7TZTAl3ZSY?si=nW5uh9RL9jjcp3Do

Tatizo hawataki kufunga uwanja, wanatangaza kufunga uwanja lakini kila mwezi utasikia uwanja unatumika.

Ukiwa unatumika kazi inayoendelea lazima tu itasimama kwa muda,

Hapo after nyasi kumea ilitakiwa iachwe kwa muda.
 
Tatizo hawataki kufunga uwanja, wanatangaza kufunga uwanja lakini kila mwezi utasikia uwanja unatumika.

Ukiwa unatumika kazi inayoendelea lazima tu itasimama kwa muda,

Hapo after nyasi kumea ilitakiwa iachwe kwa muda.
Nilishasema humu nikaambiwa ni wa serikali itafanya itakavyo.

Marekebisho yatafanyikaje ikiwa kila siku una ratiba ya matamasha?



Ripoti ya CAG ijayo usishangae Mkapa ipo over 50bn na hakuna cha maana pale kisa walidelays muda hadi mkandarasi akaomba hela zingine.

Imagine hata viti hawataki kuondoa kuogopa matamasha watakaa wapi.
 
Nilishasema humu nikaambiwa ni wa serikali itafanya itakavyo.

Marekebisho yatafanyikaje ikiwa kila siku una ratiba ya matamasha?



Ripoti ya CAG ijayo usishangae Mkapa ipo over 50bn na hakuna cha maana pale kisa walidelays muda hadi mkandarasi akaomba hela zingine.

Imagine hata viti hawataki kuondoa kuogopa matamasha watakaa wapi.
Wanaondoa viti kidogo kidogo sijui wanaogopa lini.
Uhuru naona wameondoa pitch tu.
 
Back
Top Bottom