Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kijabe Street.

1744285419940.jpeg
 
Bongolala, that's Nairobi National Park in the background. Show us any residential area in Dar is slum with such density and highrises like South C above tuone.
Anataka tujaze park na zile slums za uswazi ndio aridhike.
 
Unaelewa mzee kinachoongelewa?
Kwa hiyo pitch yetu imetengenezwa kwa ajili ya Jua tu, not All weather kiasi mvua ikinyesha inageuka Jaruba?

Pitch Drainage system shida maji kutuama na bado unafanya marekebisho ambayo hayaonekani zaidi ya Running Track toka 2023?

Mbona before walikua vizuri kuitunza? Iweje leo igeuke jaruba?

Hii mechi mvua ilinyesha that day ila angalia pitch ilivyo?


View: https://youtu.be/Zdm58rfdQ1I?si=BE3mIn0cEWQ3hDF9

Mzee don't look me with hatred ya Magufuli, look at the reality.

If kwako ni sawa tu basi hakuna shida.

Ila ni aibu kubwa kuwa broadcasted na hii pitch


View: https://youtu.be/v7TZTAl3ZSY?si=nW5uh9RL9jjcp3Do

Unajua huo uwanja ulikuwa na artificial turf?
 
Back
Top Bottom