Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni planner mgani duniani ameplan city center na kuta? What is this, the medieval times?

In a proper planned city, the CBD should form naturally around the government facilities.
A good example is Harambee avenue in Nairobi, which is full of government buildings, but in a compact way, not this tangagiza kind of planning.
Planner mgani❌
Planner gani✅

Again Judiciary building haipo city center. Wewe ni kipofu.?

Umeshawahi kupitia miji mipya inayojengwa duniani.? Hiki ni kitu kwenu hakuna, nakushangaa unashupaza shingo.?

Tafuta pitaia miji hii.
Brasilia
New cairo Egypt
Damniadio Senegal

Unataja mambo za Harambee.? 🤣🤣🤣🤣 hizo ni old plans of the city, yaani ni out dated city design. Jifunze unachikiona Tanzania hapo Dodoma hayo ndio mambo mapya ulimwenguni kote kwasasa.
 
We are clearing off China’s debt slowly by slow.


1743781427704.jpeg
 
Toa Brazil kinywani mwako. That's a footballing nation known for its immense talent. Ki ufupi ni kwamba you're just agreeing with what I said that talent matters, sio kelele na kujiliwaza
Wewe ni kichaa nmekupa mfano wa Brazil kwa sababu ndiyo kielelezo cha soka duniani, kama talent matters mbona wanamtaka kocha ambaye si mzawa, unadhani hiyo inamaanisha nn!? Nadhani nimekutafunia ili uelewe cz uwezo wako mdogo sn wa kupambanua mambo.
 
Hakuna haja ya kutetea ujinga na ushamba.

Is Dar slum CBD surrounded by walls? Good thing it grew naturally and was not planned by the average low IQ bongolala 'urban planner'.

Bongolalas have always lacked class. Hamna kabisa. Washamba online na offline. Ati nyinyi hapa JF ndio mmechanuka kidogo 😅😅😅
Offline ukweli ni kwamba akili ya bongo imejaa tu uji. Hakuna ujanja, hakuna chochote cha maana. 😀

I've never heard of your 'unprofessionals' getting big jobs abroad, because the whole world knows that a bongolala PHD is equivalent to a Kenyan Form 4 certificate 😅😅
Mbona umeandika utoto sn mzee hujala? Au Kigovi kinakusumbua?
 
Which football metrics rank football clubs based on social media following 😂
Kijana Why usitafute Rank ya Simba vs your clubs.

Kumbe ni poyoyo tu.

Unajua kua na 7m followers sio mchezo, club ikiweka Tangazo hapo linaona na Watu wangapi,

Baadae mnalete kelele eti sijui collect ksh 1m a match, ukute hiyo pesa Simba anaitengeneza Social Media tu bila kugusa popote.

Kama huoni Ukubwa wa Club kupitia fan Engagement in Social Media utakua na matatizo
 
Acha ufala na chuki zisizo sababu.. watanzania ni watu wamitandao na ndio maana unaona watu wetu maarufu wako na followers wengi kuliko watu wenu marufu au medias, hii inaonyesha internet access ya bongo is bigger than anywhere in EA.
Mzee usibishane nae sana wewe mwambie aingie huko Kwa Simba Page aangalie all followers kwenye profiles zao.

Kunyans ni wapuuzi yaani unaona kabisa Mashabiki.hawana hata jezi za Timu Derby wanavaa mpaka za Tz, Na Kenya ina mashabiki wa Yanga kabisa.
 
Sijajua ni kwnn tff wanang'ang'ania makocha wa kiarabu, mara Algeria mara Morocco, hii yote ni kukimbia gharama, kwnn wasichukue makocha bora ambao wamefanya vzr ulaya huko?
Shida kabisa mimi naona Madogo wanakosa confidence unakuta kocha mwenyewe hata alipokua Club CAF alikua anapigwa 7-0, akaona kawaida.

Yaani upuuzi Mimi nataka Kocha ambaye amewahi toboa hatua kadhaa hivyo anakua na confidence anajua figisu ili na madogo wajiamini


Why walimtimua Paulsen?

Hata taifa Star yale yale. Lete Kocha ambaye amewahi pigana soka la kueleweka.

Not Gonna Lie nawakubali Kenya kwa kwenda kwa McCarthy hapo unaona jamaa anapush haridhiki na ujinga.
 
Back
Top Bottom