babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,906
Leo FIFA wametoa ranking tena, bado Tanzania ipo juu yenu. 😂😂😂Mnavyosherehekea mtu hawezi jua juzi tu mmekuwa mkiiponda FIFA ranking eti Iko corrupt na haileti hali halisia ya mambo yalivyo. Natumia mtaendelea kuiamini FIFA hata tutakapowashinda tena which is sooner than you think. Mnakuwanga na kasumba ya kutokubali statistics zinapowaonyesha kuwa nyuma ya Kenya.