Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnavyosherehekea mtu hawezi jua juzi tu mmekuwa mkiiponda FIFA ranking eti Iko corrupt na haileti hali halisia ya mambo yalivyo. Natumia mtaendelea kuiamini FIFA hata tutakapowashinda tena which is sooner than you think. Mnakuwanga na kasumba ya kutokubali statistics zinapowaonyesha kuwa nyuma ya Kenya.
Leo FIFA wametoa ranking tena, bado Tanzania ipo juu yenu. 😂😂😂
 
Morocco square Dasilinga. 👇🏾View attachment 3291621View attachment 3291623View attachment 3291625View attachment 3291627
img_6163-jpeg.3291631
View attachment 3291640
GTC MALL, OFFICE,HOTEL & APARTMENTS
6e6a6c221078903.67ceb8cd66bbd.jpg
 
Which football metrics rank football clubs based on social media following 😂
Ila nyie wakenya Mnajua sifa Tu ila uhalisia Mpo nyuma Sana
Mnasema Mna watumiaji wengi wa Internet lakini Ukija kwenye Uhalisia Mbona mnakuwa mbali kwa Tanzania
Yaani Club Kubwa Kenya Ina 59K !!
Hata Mashujaa ya Mwaka Juzi inawazidi 248K
Ukija Youtube mpo Nyuma
7 Milion kwa 59K
 
Ila nyie wakenya Mnajua sifa Tu ila uhalisia Mpo nyuma Sana
Mnasema Mna watumiaji wengi wa Internet lakini Ukija kwenye Uhalisia Mbona mnakuwa mbali kwa Tanzania
Yaani Club Kubwa Kenya Ina 59K !!
Hata Mashujaa ya Mwaka Juzi inawazidi 248K
Ukija Youtube mpo Nyuma
7 Milion kwa 59K
Yaani Zuwenna nani kakudanganya kwamba kuwepo na internet users wengi itamaanisha kuwa wote ni mafan wa football na instagram at the same time?
 
Kwanza futa picha ya Kampala mpuuzi wewe.
Wewe kilaza yafaa mtushukuru kwa kuwajuza kwamba the tariffs were imposed on almost every country worldwide, Tanganyika included, something that you didn't know
 
Yaani Zuwenna nani kakudanganya kwamba kuwepo na internet users wengi itamaanisha kuwa wote ni mafan wa football na instagram at the same time?
Kilaza hata hajui kwamba siku hizi likes na followers hununuliwa. He thinks every like or follower is a legitimate one. Smh!
 
What makes you think that's not a possibility when it happens world over? Ama hata huna habari likes na followers on hununuliwa?
Acha ufala na chuki zisizo sababu.. watanzania ni watu wamitandao na ndio maana unaona watu wetu maarufu wako na followers wengi kuliko watu wenu marufu au medias, hii inaonyesha internet access ya bongo is bigger than anywhere in EA.
 
Back
Top Bottom