Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tuna tatizo moja, ni pale TFF, Tanzanian Football Federation. Rais Wallace na watu wake hasa mkurugenzi wa ufundi ndio tatizo. Wanawapa ukocha wazawa na hatuna mzawa mwenye uwezo wa kutupeleka kokote kisoka na wala hakuna mzawa yeyete aliye fanya kazi ya ukocha kwa mafanikio ndani ya Africa au hata ndani ya Tanzania

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1906736808324382783


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1906725100012916819


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1907869652199338274

Nyie matatizo yenu ni makubwa mno kuanzia kiuchumi, usimamizi, uongozi usio na dira.
Wakati nyie mnachekacheka kama malaya wabovu sisi tuko kwenye harakati kubadili hili la makocha, Mimi hata huyu wa Morocco aliyefanya vyema world cup simtaki na tunapiga harakati juu ya hilo.
Endleeni tu kucheka tuone nani atacheka mwishoni.


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1906867812859002965

Sijajua ni kwnn tff wanang'ang'ania makocha wa kiarabu, mara Algeria mara Morocco, hii yote ni kukimbia gharama, kwnn wasichukue makocha bora ambao wamefanya vzr ulaya huko?
 
Another NHC-funded project to give the illusion of a growing real estate market.

Other than trying to give the appearance of competition with Kilimani, of what economic value is the government spending public funds to build 100 apartments on a 22-storey tower on expensive land?
Don't you have private developers for that?

Public money should do the most good to most people. In NHC's case, instead of building beach-side apartments and high-rise city towers, perhaps they should focus on the 95% of Bongolalas who either live in slums, shanties, unsanitary or otherwise unplanned or informal settlements, with no hope of receiving municipal services this century.

I was looking at the tallest buildings in Tanzania, and I think there's like 1 or 2 in the top 20 that are not owned by the government or a public body.
What in the North Korea is going on?
NHC is a public real estate company!
 
Ko olevel sio high school tena? 😂😂😂
Govi kubwa kama tube ya trekta imenyonya akili yote 😂😂
Nilishasema ni high school sasa ulikua unaniletea screenshot ya A-level nifanyie nini? Au hujui tofauti ya the two. Rudi shule.
 
NHC is a public real estate company!
Muambie ukiachana na NHC kuna Watumushi Housing Investment nao wanakuja kwa kasi ili asikie vibaya vizuri maana wamezoea kumtegemea mchina kwa kila kitu.
Baadhi ya project zao.
IMG_3027.jpeg
 
You guys don’t have Tanzanian players you have to hire them from outside and consider yourselves a football nation 😂
View: https://x.com/africafactszone/status/1907879939828789433?s=46

The most paid Tanzanian footballer ni mbwana Ali Samata. Hii hapa ni trend ya mshahara wake huko klabuni kwake Fenerbahce £2.7 million annually that’s $3.5 million 👇🏾
IMG_6178.jpeg
Tanzanians best players hawachezi ndani. Here is Novatus Dismas miroshi new young talented footballer in Tz . Anacheza mbele huko Göztepe na mshahara wake ni $274k annually. 👇🏾
IMG_6177.jpeg

Vipaji vikali vya Tanzania havichezi nchini, viko zao majuu huko.
 
Back
Top Bottom