Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,792
mbwa anakula mbwa sasa 😂😂😂😂
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1907614028764962933?s=46
mbwa anakula kadogii!
mbwa anakula mbwa sasa 😂😂😂😂
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1907614028764962933?s=46
Still better than your uswazi hovels.
Still better than your uswazi hovels.
Still better than your uswazi hovelsView attachment 3291864
Mbona amuonyeshi uswazi wa dar kama tunavyoonyesha machafu chafu na slums,au hayo magovi yamewatoa akili,kila siku dar ni uswazi ila hizo picha za uswazi atuzioni
Umeanza kuwehuka sasa.Kumbe hata Mwanza mwendo ni wa slums tu, kama ilivyo kakake mkubwa Dar😂😂😂
View attachment 3291828
Wakati Ruto anazindua miradi iliyokwisha zinduliwa na mtangulizi wake na akizundua nguzo za umeme na jengo la darasa, huku Tanzania daraja limezinduliwa na dereva. 😂😂😂
View: https://www.facebook.com/share/v/162heDL1zx/?mibextid=wwXIfr
We Ni Govi kumbe.Shoga ni yule anayesumbuliwa na jinsi mjulubeng wa mwanaume mwenzake unavyokaa. Mambo ya sehemu nyeti za wanaume achie wanawake wadiscus.
Sisi hatufanyi kwa sababu wazungu wanafanya ndio maana sijakwambia usifanye. Nyie ndio mnaofanya kwa sababu mzungu anafanya. The point is, Kuna kabila ambazonkutahiri ni tamaduni zao na kunazo ambazo kutahiri sii tamaduni zao. Sasa nyinyi maVumbistan mnajaribu kuforce kabila ambazo kutahiri sii tamaduni zao kisa mmesoma kwa Biblia ya Mzungu ama Quran ya Mwarabu. Alafu umesema vizuri unajivunia kutahiri kwa sababu ni tamaduni ya kabila YAKO then unaendelea kumbeza mwengine ambaye sio utamaduni wake. Ndio maana nikakwambia Kunao ambao hawajatahiri na wameendelea kumshinda ndio uone hilo jambo la kusema eti kutotahiri ni ujinga ni la kijinga sana. Dunia nzima waliotahiri ni wachache kulio wasiotahiri. Wacha watu waishi wanavyotaka.
mbwa anakula mbwa sasa 😂😂😂😂
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1907614028764962933?s=46
Toka lini mwanza ni tambarare hivyo.?Kumbe hata Mwanza mwendo ni wa slums tu, kama ilivyo kakake mkubwa Dar😂😂😂
View attachment 3291828
kumbe kampala iko mwanza siku hzi 😂😂Kumbe hata Mwanza mwendo ni wa slums tu, kama ilivyo kakake mkubwa Dar😂😂😂
View attachment 3291828
Uzi wa picha huu,hii inaprove dar ni better than naipori,leteni picha za slums za darStill better than your uswazi hovels