Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya tunaposema tunawaacha tunamaanisha Gen.Isamuyo Stadium nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam
 

Attachments

  • FB_IMG_1743674559547.jpg
    FB_IMG_1743674559547.jpg
    33.4 KB · Views: 6
  • FB_IMG_1743674551332.jpg
    FB_IMG_1743674551332.jpg
    33.4 KB · Views: 8
Nimeona baadhi ya comments za humu kwenye hii post kutoka facebook,
1. Wakunya wengi wana Azam Tv majumbani kwao na wengine wanatumia Azam web na app.
2. Ambao hawana wanalalamika kulipia, wanataka kuangalia bure (umasikini)
3. Wengine ambao hawana ni chuki kisa inamilikiwa na Mtanzania.
Comment mojawapo “Around 6 friends of mine and I have purchased the Azam decoder and it's a seamless experience so far. I love the efforts that are putting up so far 💯”
 
Hawa vilaza wanapenda ubishi sana. Yani hadi taarifa ishaletwa hapa kwamba idadi ya watu waliotairiwa Kenya ni nyingi kuliko kwao lakini bado wanapiga kelele hapa! Mabishano yasiyo na msingi
Taarifa ipi.? 🤣🤣🤣 ikiwa hapa tulipo tu idadi inasema 100% Tz wametahiriwa while less than 80% kunyans in this forum are uncircumcised. .
 
Taarifa ipi.? 🤣🤣🤣 ikiwa hapa tulipo tu idadi inasema 100% Tz wametahiriwa while less than 80% kunyans in this forum are uncircumcised. .
Kenya- 91%
Tanganyika - 72%

Una lingine la kusema?
 
Kenya- 91%
Tanganyika - 72%

Una lingine la kusema?
Hii umeenda kuandika wewe au.? 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom