Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shida sio kununua ticket, shida uwanja umejaa. Yani ticket zimeuzwa zikaisha. Wacheni unafiki.
Hawataki kukubali kwamba the stadium was fully sold. Hata kule Kisii kuna mashabiki wa Shabana wamebaki nje juu uwanja ulijaa.
 
Town nne .? 🤣🤣 kanda ya ziwa yote hakuna mkoa sijakanyaga.

1.Nimeishi mwanza 3 good years.
2.Musoma nimefika
3.Geita nimefika 3 times
4.Bukuba nimefanya field 2020 (2 months)
5.Kahama (two weeks)
6.Simiyu.

7. morogoro nimefika 7 times kuna mara moja niliishi mwezi mzima.
8.Mbeya nimefika 2 times.
9. Iringa
10. Mtwara
11. Dodoma (kondoa nimekaa wiki mbili pale bicha)

Kwakifupi hii Tanzania, wala wanidanganye wakongwe tena walio safiri kweli kweli hivi karibuni . Sio mbwa yeyote kutoka kenya.
In short, hujatoka Tanzania. Huyo unayemquote ametembea nchi yake akamaliza akatoka nchi yake akaingia nchi yako. Sasa wewe hujatoka nchi yako alafu unamwambia asiongelee nchi yako ambayo ashaingia. Wewe mwenyewe kila siku unaongelea nchi yake na hata mpakani mwake hujafika. Tukisema kila mtu aongelee nchi ambazo ashaakanyaga pekee wewe utakuwa miongoni mwa wale ambao watakubalika kuongelea nchi yao wenyewe pekee.
 
Kusema tu ukweli Kenyans live foitball than any country in East Africa. The way Nyayo is struggling to handle these matches I’m sure Kasarani and Talanta will be now prperly use during derbies because of their capacity.

Nyayo might even struggle to host a match of Shabana FC vs Gor or Leopard.

View attachment 3287894
Hawa ni watu 17k kwene huu uwanja unatupigia kelele.?. 🤣🤣 hii ni full house 60k+ people.👇🏾
IMG_6082.jpeg
IMG_6081.jpeg
hadi wengine wanabaki nje.

Hii itawachukueni mwongo mmoja labda kufikia.
 
In short, hujatoka Tanzania. Huyo unayemquote ametembea nchi yake akamaliza akatoka nchi yake akaingia nchi yako. Sasa wewe hujatoka nchi yako alafu unamwambia asiongelee nchi yako ambayo ashaingia. Wewe mwenyewe kila siku unaongelea nchi yake na hata mpakani mwake hujafika. Tukisema kila mtu aongelee nchi ambazo ashaakanyaga pekee wewe utakuwa miongoni mwa wale ambao watakubalika kuongelea nchi yao wenyewe pekee.
Nchi ipi ulitembea we mbwa.? 🤣🤣🤣
Post picha zako hapa huko nchi ulizofika.

Hapo kwemu kenya emyewe ukiachana na kijijini kwenu ulipozaliwa, labda ulifika Naipori pekee.

Kwani kufika Tz ni makka hapa.? Si ni suala la pasport tu.? Unajua kama kutoka Nairobi kufika Arusha ni karibu, kuliko kufika Dar.?

Sasa mimi nimesafiri maelfu ya kilometa hii Tz, ningefanya hivyo huko kwenu labda ningekua nishazunguka kenya yote mpaka kule jangwa na nusu ya Uganda. 🤣🤣🤣
 
Nchi ipi ulitembea we mbwa.? 🤣🤣🤣
Post picha zako hapa huko nchi ulizofika.

Hapo kwemu kenya emyewe ukiachana na kijijini kwenu ulipozaliwa, labda ulifika Naipori pekee.
Naongelea NairobiWalker . Mimi mambo yangu huyawezi wee kima. You're the only person on this forum who brags about travelling in his own country. Jiulize hayo maswali.
 
Hii si ni hile washabiki walikubaliwa kuingia bure?😂😂

For your information Nyayo is 30k full parked.
Kunakua na dabi mbili kila mwaka, unatakanipost picha za dabi ipi.? 🤣🤣🤣

Ulifkiri sisi ni nyinyi.? 🤣🤣🤣 mara zote dabi ya Kariakoo inapiga full house.
 
Ati umetoka Tanga hadi Dar sasa hilo ni la kuringia watu. Unaitaji exposure wee baboon.
Mbona unanirudisha Tanga hadi Dar.? 🤣🤣
Nimeishi au kufika na kukaa walau wiki moja mikoa 20 Tz hii.
Achana na ile mikoa ambayo nimeputa njia tu. 🤣🤣🤣

Ningefanya hivyo kenya, ni umbali wa kuizunguka kenya nzima na Nusu ya Uganda..
wewe umesafiri wapi mbwa hii.?
 
Kunakua na dabi mbili kila mwaka, unatakanipost picha za dabi ipi.? 🤣🤣🤣

Ulifkiri sisi ni nyinyi.? 🤣🤣🤣 mara zote dabi ya Kariakoo inapiga full house.
Derby za kuingia free usituletee hapa tafadhali.
 
Back
Top Bottom