Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,960
- 27,956
Derby ya kuingia bure?Mna safari ndefu kuifikia derby namba 3 kwa afrika,kkoo derby
Derby ya kuingia bure?Mna safari ndefu kuifikia derby namba 3 kwa afrika,kkoo derby
Hawataki kukubali kwamba the stadium was fully sold. Hata kule Kisii kuna mashabiki wa Shabana wamebaki nje juu uwanja ulijaa.Shida sio kununua ticket, shida uwanja umejaa. Yani ticket zimeuzwa zikaisha. Wacheni unafiki.
In short, hujatoka Tanzania. Huyo unayemquote ametembea nchi yake akamaliza akatoka nchi yake akaingia nchi yako. Sasa wewe hujatoka nchi yako alafu unamwambia asiongelee nchi yako ambayo ashaingia. Wewe mwenyewe kila siku unaongelea nchi yake na hata mpakani mwake hujafika. Tukisema kila mtu aongelee nchi ambazo ashaakanyaga pekee wewe utakuwa miongoni mwa wale ambao watakubalika kuongelea nchi yao wenyewe pekee.Town nne .? 🤣🤣 kanda ya ziwa yote hakuna mkoa sijakanyaga.
1.Nimeishi mwanza 3 good years.
2.Musoma nimefika
3.Geita nimefika 3 times
4.Bukuba nimefanya field 2020 (2 months)
5.Kahama (two weeks)
6.Simiyu.
7. morogoro nimefika 7 times kuna mara moja niliishi mwezi mzima.
8.Mbeya nimefika 2 times.
9. Iringa
10. Mtwara
11. Dodoma (kondoa nimekaa wiki mbili pale bicha)
Kwakifupi hii Tanzania, wala wanidanganye wakongwe tena walio safiri kweli kweli hivi karibuni . Sio mbwa yeyote kutoka kenya.
Hawa ni watu 17k kwene huu uwanja unatupigia kelele.?. 🤣🤣 hii ni full house 60k+ people.👇🏾Kusema tu ukweli Kenyans live foitball than any country in East Africa. The way Nyayo is struggling to handle these matches I’m sure Kasarani and Talanta will be now prperly use during derbies because of their capacity.
Nyayo might even struggle to host a match of Shabana FC vs Gor or Leopard.
View attachment 3287894
Nchi ipi ulitembea we mbwa.? 🤣🤣🤣In short, hujatoka Tanzania. Huyo unayemquote ametembea nchi yake akamaliza akatoka nchi yake akaingia nchi yako. Sasa wewe hujatoka nchi yako alafu unamwambia asiongelee nchi yako ambayo ashaingia. Wewe mwenyewe kila siku unaongelea nchi yake na hata mpakani mwake hujafika. Tukisema kila mtu aongelee nchi ambazo ashaakanyaga pekee wewe utakuwa miongoni mwa wale ambao watakubalika kuongelea nchi yao wenyewe pekee.
Hii si ni hile washabiki walikubaliwa kuingia bure?😂😂Hawa ni watu 17k kwene huu uwanja unatupigia kelele.?. 🤣🤣 hii ni full house 60k+ people.👇🏾 View attachment 3287913View attachment 3287915hadi wengine wanabaki nje.
Hii itawachukueni mwongo mmoja labda kufikia.
Derby ambayo last time ilifail miserablyMna safari ndefu kuifikia derby namba 3 kwa afrika,kkoo derby
Bila kulipaHawa ni watu 17k kwene huu uwanja unatupigia kelele.?. 🤣🤣 hii ni full house 60k+ people.👇🏾 View attachment 3287913View attachment 3287915hadi wengine wanabaki nje.
Hii itawachukueni mwongo mmoja labda kufikia.
Naongelea NairobiWalker . Mimi mambo yangu huyawezi wee kima. You're the only person on this forum who brags about travelling in his own country. Jiulize hayo maswali.Nchi ipi ulitembea we mbwa.? 🤣🤣🤣
Post picha zako hapa huko nchi ulizofika.
Hapo kwemu kenya emyewe ukiachana na kijijini kwenu ulipozaliwa, labda ulifika Naipori pekee.
Uwanja uko kilomita Moja kutoka kwa fans 😭😭😭Hawa ni watu 17k kwene huu uwanja unatupigia kelele.?. 🤣🤣 hii ni full house 60k+ people.👇🏾 View attachment 3287913View attachment 3287915hadi wengine wanabaki nje.
Hii itawachukueni mwongo mmoja labda kufikia.
Kuna dabi ipi imeshawahi kuchezwa bila viingilio.? 🤣🤣 au unazusha habari zisizokuwepo.?Bila kulipa
Sio tu bragging, I am really proud of travling all around my country. Wewe umesafiri wapi kima wewe.? 🤣🤣🤣Naongelea NairobiWalker . Mimi mambo yangu huyawezi wee kima. You're the only person on this forum who brags about travelling in his own country. Jiulize hayo maswali.
Kunakua na dabi mbili kila mwaka, unatakanipost picha za dabi ipi.? 🤣🤣🤣Hii si ni hile washabiki walikubaliwa kuingia bure?😂😂
For your information Nyayo is 30k full parked.
Ati umetoka Tanga hadi Dar sasa hilo ni la kuringia watu. Unaitaji exposure wee baboon.Sio tu bragging, I am really proud of travling all around my country. Wewe umesafiri wapi kima wewe.? 🤣🤣🤣
Derby ambayo last time ilifail miserably
Derby ya kuingia bure?
Mbona unanirudisha Tanga hadi Dar.? 🤣🤣Ati umetoka Tanga hadi Dar sasa hilo ni la kuringia watu. Unaitaji exposure wee baboon.
Mabwege haoKuna dabi ipi imeshawahi kuchezwa bila viingilio.? 🤣🤣 au unazusha habari zisizokuwepo.?
watu 42k wabadai kurudishiwa viingilio vyao baada ya mechi ya Simba vs Yanga kuhairishwa. Wewe unasema ni mechi za bure.?
Derby za kuingia free usituletee hapa tafadhali.Kunakua na dabi mbili kila mwaka, unatakanipost picha za dabi ipi.? 🤣🤣🤣
Ulifkiri sisi ni nyinyi.? 🤣🤣🤣 mara zote dabi ya Kariakoo inapiga full house.
View: https://youtu.be/CDx1hOrzO80?si=S15KDYtolWTae9Q9 kiderby chenu hata derby yetu ya wanawake bado hamjaifikia,pambaneni sana