Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,954
- 27,948
Mbona unanionyesha mitaro sasa?
Naona after kukupea somo Jana ulielimika🤣😂😂.kwanini zisitengeneze faida hasabaada kuwa wakopeshaji wakubwa w serikali. faida kubwa inatokana kuikopesha serikali ya kenya na sio kwa sababu ya kuwa na fisca policy nzuri
which banks ?Naona after kukupea somo Jana ulielimika🤣😂😂.
In short ni wakenya ndio wanakopesha serikali through the banks. Without Kenyans depositing their money where will those banks find funds to loan the government?
leta ya kwenu ambayo inaweza zalisha hata robo ya mchele wa kulisha kakamega tuMbona unanionyesha mitaro sasa?
Blood banks.which banks ?
Hata wewe tengeneza yako uweke humu. Again, I know it hurtsHii ndiyo chassis?
Mnaiogopa Tanzania kiasi cha kutengeneza vipicha ili kujipa faraja ya muda mfupi alafu kichaa kama wewe umeshindwa hata ku notice.
View attachment 3285689
tafuta TRADE AND DEVELOPMENT BANK OF AFRICA kwenye list of kenyan registered bnks zinazotambulika CENTRAL BANK OF KENYA hapo. ukiipata njoo nikupe 1mil ksh.Blood banks.
Kujiliwaza rukhsaMbona hukuongea kabla kama kweli una balls 🤣🤣🤣🤣
Btw, kesi ya Tanzania Vs Morocco haiwahusu, ile ilikuwa mechi ya wana afcon, tulikuwa tunapimana uwezo sisi afcon regular qualifiers.
Hata 10 bob ndio huna, hiyo 1M maybe utapata after umekufa.tafuta TRADE AND DEVELOPMENT BANK OF AFRICA kwenye list of kenyan registered bnks zinazotambulika CENTRAL BANK OF KENYA hapo. ukiipata njoo nikupe 1mil ksh.
ndo maana tuwambiaaga hamnaga akili ili benki itambulike kuwa ni ya nchi fulani lazima iwe registre kufanya kazi katika nchi husika na inakuwa controlled n Central bank ya nchi husika. kuwa na regional office sio kuwa ndo mnaimiliki na kmwe no individual keya have accpounts to that bank.
sasa maskini kama wewe ambae mamako alipatia mimba mtaroni utakuwa na bobHata 10 bob ndio huna, hiyo 1M maybe utapata after umekufa.
Uzuri Niko na pesa kukuliko.😂😂sasa maskini kama wewe ambae mamako alipatia mimba mtaroni utakuwa na bob
una hela ila hauna hata uwezo wa kuvuka athi riverUzuri Niko na pesa kukuliko.😂😂
Mbona nivuke Athi River? Unataka nivuke Athi River nikienda wapi? Just no that nimekushinda na pesa.una hela ila hauna hata uwezo wa kuvuka athi river
😂😂😂😂 hayati aliyasema kua akiondoka yatarudi kwani ni uongo??
![]()
Watu sita wakamatwa kwa kuhujumu miundombinu ya reli ya SGR
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watuhumiwa wawili, Said Sempinga (39) na Michael Robert (44) wote wakazi wa Kilosa kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya reli ya mwendokasi ya SGR. Tukio hilo limetokea Oktoba 03, mwaka huu majira ya saa 05 usiku katika kijiji cha Msagali, Wilaya ya...swahilitimes.co.tz
View: https://www.instagram.com/p/DDMSFMjtUAY/?igsh=NzFzODlsb295ZnM3
hapo utakuta waziri hana hata habari 😂😂
kazi walionayo ni wapi watafute vyombo vya habari wasifie tu uchawa
View: https://x.com/eastafricatv/status/1905201103836176688?s=46