Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwanini zisitengeneze faida hasabaada kuwa wakopeshaji wakubwa w serikali. faida kubwa inatokana kuikopesha serikali ya kenya na sio kwa sababu ya kuwa na fisca policy nzuri
Naona after kukupea somo Jana ulielimika🤣😂😂.

In short ni wakenya ndio wanakopesha serikali through the banks. Without Kenyans depositing their money where will those banks find funds to loan the government?
 
Blood banks.
tafuta TRADE AND DEVELOPMENT BANK OF AFRICA kwenye list of kenyan registered bnks zinazotambulika CENTRAL BANK OF KENYA hapo. ukiipata njoo nikupe 1mil ksh.
ndo maana tuwambiaaga hamnaga akili ili benki itambulike kuwa ni ya nchi fulani lazima iwe registre kufanya kazi katika nchi husika na inakuwa controlled n Central bank ya nchi husika. kuwa na regional office sio kuwa ndo mnaimiliki na kmwe no individual keya have accpounts to that bank.
 

Attachments

Mbona hukuongea kabla kama kweli una balls 🤣🤣🤣🤣
Btw, kesi ya Tanzania Vs Morocco haiwahusu, ile ilikuwa mechi ya wana afcon, tulikuwa tunapimana uwezo sisi afcon regular qualifiers.
Kujiliwaza rukhsa
 
Kasarani Stadium from above, canopy is 99% complete. Second phase which entails, exterior to start soon.

1743154552900.jpeg
 
tafuta TRADE AND DEVELOPMENT BANK OF AFRICA kwenye list of kenyan registered bnks zinazotambulika CENTRAL BANK OF KENYA hapo. ukiipata njoo nikupe 1mil ksh.
ndo maana tuwambiaaga hamnaga akili ili benki itambulike kuwa ni ya nchi fulani lazima iwe registre kufanya kazi katika nchi husika na inakuwa controlled n Central bank ya nchi husika. kuwa na regional office sio kuwa ndo mnaimiliki na kmwe no individual keya have accpounts to that bank.
Hata 10 bob ndio huna, hiyo 1M maybe utapata after umekufa.
 
😂😂😂😂 hayati aliyasema kua akiondoka yatarudi kwani ni uongo??






View: https://www.instagram.com/p/DDMSFMjtUAY/?igsh=NzFzODlsb295ZnM3

Cha kufanya ni kuonyesha mfano wa kuwanyonga hadharani hao wanaohujumu reli
 
Back
Top Bottom