ndo maana tunakuambia wewe ni maskini unategmea sehemu ya ajira kuishi, huwezi elewa maana misimu ya hela korosho starts from octobr to january , hapo lazima utanona tena , scrap ni by products kama pumba hasa baada ya kufanya milling, sasa akili yako inaktuma wapi
haya basi hiii hapa tunawandalia wenzako wanaihitaji dar es salaam kuwaletea kenya mkale nasiki kuna njaa . mind you bei ya pumba dar is 440 per kg kwa siku zinatoka scrap za 13,500 kg how much is that compared kwa investment uliyowkeza .
tunaongelea ksh 280,000 per day kwa kuuza pumba bado unga . hiyo ni hela ambayo hata babako toka azaliwe hajahi lipwa