Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanini hiyo pesa msimpe Wahuu na Namless na wasanii wengine wa Kenya wanalalamika kwamba mnatoa support kwa wageni pekee, ninyi watu wenye akili ndogo, kulipa millions of $ kwa Chriss Brown na Diamond who already are very rich.

Nameless and Wahu just like many other Kenyan musicians are into corporate events and sponsorship management big time! They don't need to strut their stuff on stage every now and then for a living. They've made their names already and moved on to bigger things. Once in a while they stage charity concerts to give back to the society. That's how progress is gauged!
 
Vigezo vinavyotumika ni nchi lazima iwena njaa kali, above 40% ya population below poverty line na insecurity, Tanzania is far away out of these

A country is classified among the Least Developed Countries if it meets three criteria:

Poverty – adjustable criterion based on GNI per capita averaged over three years. As of 2015 a country must have GNI per capita less than US $1,035 to be included on the list, and over $1,242 to graduate from it.

Human resource weakness (based on indicators of nutrition , health,
education and adult literacy ).

Economic vulnerability (based on instability of agricultural production, instability of exports of goods and services, economic importance of non-traditional activities, merchandise export concentration, handicap of economic smallness, and the percentage of population displaced by natural disasters).
 
Nameless and Wahu just like many other Kenyan musicians are into corporate events and sponsorship management big time! They don't need to strut their stuff on stage every now and then for a living. They've made their names already and moved on to bigger things. Once in a while they stage charity concerts to give back to the society. That's how progress is gauged!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Leo umesahau kumeza vile vidonge vyako vya ugonjwa wa akili?
 
archive food, employments, guaranteed security, house 😀😀😀😀😀😀😀

archive

noun

a collection of historical documents or records providing information about a place, institution, or group of people.

verb

place or store (something) in an archive.
 
Yaan na Tanzania tulivyo na population kubwa zaidi yao lakni still wametuzidi percentage za poverty hahahhah wazee wa uchum wa kwenye makaratasi

Well you should check this link http://hdr.undp.org/en/composite/MI you will see where our 45% comes from. When you use the international standard of 1.9 dollars 45% of your population is below poverty compared to Kenyas 33%. Mkipima na dollar moja ni 22%. Our country has set a higher poverty line as shown in the last two columns. Now you can go work harder to lift the population out of poverty.
 
A country is classified among the Least Developed Countries if it meets three criteria:

Poverty – adjustable criterion based on GNI per capita averaged over three years. As of 2015 a country must have GNI per capita less than US $1,035 to be included on the list, and over $1,242 to graduate from it.

Human resource weakness (based on indicators of nutrition , health,
education and adult literacy ).

Economic vulnerability (based on instability of agricultural production, instability of exports of goods and services, economic importance of non-traditional activities, merchandise export concentration, handicap of economic smallness, and the percentage of population displaced by natural disasters).
Kwahiyo inawezekana walikosea kuiweka Kenya huko iliko, kwasababu more than 43% ya population is below poverty line, more than 3M Kenyans are dying from hunger, 48% unemployment rate, insecurity 45% of children with malnutrition
 
archive

noun

a collection of historical documents or records providing information about a place, institution, or group of people.

verb

place or store (something) in an archive.
pumzika upambane na hali yako😀😀😀😀😀😀😀😀
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pole wapo wengi wanafahamika sana na kukubalika hapo Kenya zaidi ya wasanii wenu ,hawa no mfano tu
Rayvan
Harmonize
Ladyjayd
Jux
Asly
Barnabas
Dimpoz
Mi huko kwenu nawakubali nyanshiski na marehemu sauti sol[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahaahh wewe ndio unawajua pekee na wakenya washamba wa vijijinj....

mimi najua ali na diamond pekee.
Bila support ya wakenya sidhani kama wangefika mahali wako...kuna siku niliattend event hapo May ya Ali kiba Minnesota,meneapolis city nilishanga kuona kumbe ni wakenya walikuwa wengi kama wote
 
Kwahiyo inawezekana walikosea kuiweka Kenya huko iliko, kwasababu more than 43% ya population is below poverty line, more than 3M Kenyans are dying from hunger, 48% unemployment rate, insecurity 45% of children with malnutrition
Hawawezi kosea Mara tatu...kubali tuuu mko LDC kaka ila mjitahidi kama sisi muweze kujikwamua na hata mukiweza andaeni Kongamano na wana- LDC pale Lilongwe Malawi mpate suluhu ya pamoja maana Mko Nchi thelathini na tati
u(33) zinazovuta Africa nyuma.
 
0L7C1936.jpg
Hii stadium iliundiwa kondoo ama....
haijawapeleka Afcon,hakuna medali mmepata olympic,rugby sijawahi kuwaona,volleyball pia ni butu,netball ndio usiseme....hiyo stadium ni concrete structure without anything good out of it.
 
Kwahiyo inawezekana walikosea kuiweka Kenya huko iliko, kwasababu more than 43% ya population is below poverty line, more than 3M Kenyans are dying from hunger, 48% unemployment rate, insecurity 45% of children with malnutrition
sio 43 bro ni 48% na ni link ya 2017😀😀😀😀😀
 
Hii stadium iliundiwa kondoo ama....
haijawapeleka Afcon,hakuna medali mmepata olympic,rugby sijawahi kuwaona,volleyball pia ni butu,netball ndio usiseme....hiyo stadium ni concrete structure without anything good out of it.
pole kwa hasira bro😀😀😀😀😀😀
 
Hawawezi kosea Mara tatu...kubali tuuu mko LDC kaka ila mjitahidi kama sisi muweze kujikwamua na hata mukiweza andaeni Kongamano na wana- LDC pale Lilongwe Malawi mpate suluhu ya pamoja maana Mko Nchi thelathini na tati
u(33) zinazovuta Africa nyuma.
Number of Kenyans going hungry doubles to three million
nikumbushe hii ni nchi gani?, kwako kipi ni muhimu kati ya kuwa Lower middle income wakati huna chakula, au uwe LDC na unachakula cha ziada kuwauzia majirani?
 
Hahaahh wewe ndio unawajua pekee na wakenya washamba wa vijijinj....

mimi najua ali na diamond pekee.
Bila support ya wakenya sidhani kama wangefika mahali wako...kuna siku niliattend event hapo May ya Ali kiba Minnesota,meneapolis city nilishanga kuona kumbe ni wakenya walikuwa wengi kama wote
So wakenya ndio mmewapandisha mond na kiba ????? R u mad ???
 
Hawawezi kosea Mara tatu...kubali tuuu mko LDC kaka ila mjitahidi kama sisi muweze kujikwamua na hata mukiweza andaeni Kongamano na wana- LDC pale Lilongwe Malawi mpate suluhu ya pamoja maana Mko Nchi thelathini na tati
u(33) zinazovuta Africa nyuma.
Dah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we jamaa umenichekesha dah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom