Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongo ni wasani wawili tu wanatambulika..ama watatu including venessa mdee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pole wapo wengi wanafahamika sana na kukubalika hapo Kenya zaidi ya wasanii wenu ,hawa no mfano tu
Rayvan
Harmonize
Ladyjayd
Jux
Asly
Barnabas
Dimpoz
Mi huko kwenu nawakubali nyanshiski na marehemu sauti sol[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Huku kuna pesa ,si kama hapo kwenu niliona ati event ni ksh.500 na bado si sold out.
Pia inafaa ujue msani wa bongo akikubalika kenya ameshapenya Kabisa...eg Ali kiba na Diamond.
wenye najua na kuskia
Kwanini hiyo pesa msimpe Wahuu na Namless na wasanii wengine wa Kenya wanalalamika kwamba mnatoa support kwa wageni pekee, ninyi watu wenye akili ndogo, kulipa millions of $ kwa Chriss Brown na Diamond who already are very rich.
 
Kwanini hiyo pesa msimpe Wahuu na Namless na wasanii wengine wa Kenya wanalalamika kwamba mnatoa support kwa wageni pekee, ninyi watu wenye akili ndogo, kulipa millions of $ kwa Chriss Brown na Diamond who already are very rich.
Shows zote za kina Nameless,sauti sol,victoria kimani huwa sold out na si ksh.500 kama huko kwenu
 
Inakuwa sold out only if is Diamond, Kiba or Chris Brown, not Wahuu, Nameless, Prezoo, Juguar and Akothee..stupid
Kwanza hakuna msanii anaimba sense east africa yote kama nameless..
Naskia diamond analipiza shows zake bongo bei za madafu.
 
Mbona hata ya huko kwenu hujui kitu?, akili zenu ni ndogo sana kuweza kujifunza na kujua mambo mengi ya dunia
Ungejitahidi zaidi kujua mambo ya LDC wenzenu kama vile Zambia,Mozambique, Malawi, Uganda, Zambia, DRC, CAR, Somalia, Liberia, Sierra Leone, Mauritania, Niger, Chad, Afghanistan na Benin. Kenya hapo kwenye Hii ligi mbali tupo na kina South Africa, Namibia, Botswana, Nigeria, Tunisia, Morroco, Egypt, Mauritius, Bulgaria, Brazil, Uruguay, na wengine mashuhuri.
 
Shows zote za kina Nameless,sauti sol,victoria kimani huwa sold out na si ksh.500 kama huko kwenu
Kwenda ukalale Kibera wewe, Victoria Kimani kila siku analalamika kwamba hapo Kenya hapati pesa yoyote hadi aende Nigeria ndiyo anapata pesa ya kula, anasema Kenya inathamini zaidi mziki wa Jamaica, USA, Nigeria na Tanzania
 
62% of GDP is owned by 8300 people, out of these 62% are foreigners who own 62% of total GDP which is owned by 8300 people.
1) Calculate percentage of people who die of hunger daily
2)What is the rate of people who migrate from better houses to Slums per year?
3)Should these citizens allowed to enter a country full of milk and honey by just using their ID(kipande)?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hell gadamnnnnn noooooo
 
Ungejitahidi zaidi kujua mambo ya LDC wenzenu kama vile Zambia,Mozambique, Malawi, Uganda, Zambia, DRC, CAR, Somalia, Liberia, Sierra Leone, Mauritania, Niger, Chad, Afghanistan na Benin. Kenya hapo kwenye Hii ligi mbali tupo na kina South Africa, Namibia, Botswana, Nigeria, Tunisia, Morroco, Egypt, Mauritius, Bulgaria, Brazil, Uruguay, na wengine mashuhuri.
Kenya ni lower middle income economy,mko kwenye borderline
mnahitji misaada ata chakula Hamna cha kujitosheleza,Na nchi nyingi ulizotaja apo wengine wako kwenye upper middle economy ambayo hamfiki ata baada ya 30 yrs to come,Ni kesho kutwa tutakua wte lower middle economy...na msishangae mmebaki nyuma
 
Ungejitahidi zaidi kujua mambo ya LDC wenzenu kama vile Zambia,Mozambique, Malawi, Uganda, Zambia, DRC, CAR, Somalia, Liberia, Sierra Leone, Mauritania, Niger, Chad, Afghanistan na Benin. Kenya hapo kwenye Hii ligi mbali tupo na kina South Africa, Namibia, Botswana, Nigeria, Tunisia, Morroco, Egypt, Mauritius, Bulgaria, Brazil, Uruguay, na wengine mashuhuri.
Huwa nipo interested zaidi na top five countries duniani zenye njaa kali na umasikini sana, ambazo ni Yemen, Somalia, Kenya, South Sudan na Ethiopia, ninaandika thesis yangu on these
 
Back
Top Bottom