REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,233
- 10,919
ichoboy01asa sgr imennza kufanya kzi lini ndugu? unajua hiyo report imecover kipindi cha kuanzia 1/7/2024 mpaka 30/06/2024. sgr imeanza kufanya kazi july unategemea taarifa yake utaikuta kwenye hiyo report. mbona rport imeelez vizuri sababu ya hasara, kuwa ni kuharibika kwa madaraja na upungufu uliojitokeza wa vichwa. itakuwaje kma trc walitumia kiai tajwa kwenye kurekebish mdaraja yliyokuwa yamesombw na maji?
TRC kupata hasara haimaanishi kuwa SGR ndio inazalisha hasara hiyo, Kuna ile reli ya kati ya zamani ndio tatizo na ndio hasara zote zinatoka huko. CAG amesema kwa kifupi kuwa TRC wanahitaji mabehewa na vichwa vipya, unafikiri alikuwa nanamanisha vichwa vya SGR or MGR?