Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

asa sgr imennza kufanya kzi lini ndugu? unajua hiyo report imecover kipindi cha kuanzia 1/7/2024 mpaka 30/06/2024. sgr imeanza kufanya kazi july unategemea taarifa yake utaikuta kwenye hiyo report. mbona rport imeelez vizuri sababu ya hasara, kuwa ni kuharibika kwa madaraja na upungufu uliojitokeza wa vichwa. itakuwaje kma trc walitumia kiai tajwa kwenye kurekebish mdaraja yliyokuwa yamesombw na maji?
ichoboy01

TRC kupata hasara haimaanishi kuwa SGR ndio inazalisha hasara hiyo, Kuna ile reli ya kati ya zamani ndio tatizo na ndio hasara zote zinatoka huko. CAG amesema kwa kifupi kuwa TRC wanahitaji mabehewa na vichwa vipya, unafikiri alikuwa nanamanisha vichwa vya SGR or MGR?
 
ichoboy01

TRC kupata hasara haimaanishi kuwa SGR ndio inazalisha hasara hiyo, Kuna ile reli ya kati ya zamani ndio tatizo na ndio hasara zote zinatoka huko. CAG amesema kwa kifupi kuwa TRC wanahitaji mabehewa na vichwa vipya, unafikiri alikuwa nanamanisha vichwa vya SGR or MGR?
hoja hapa ilikuwa watu wanaelekeza kuwa sgr ulikuwa mrdi wa ovyo bila kujua source ya hasara
 
In Tanzania for event to be filled they must spice it with a Kenyan comedian. Without Kenyan comedian in attendance no one will come.
We kaoshe tu vyombo mzee. 🤣🤣🤣 unajua nini kuhusu burudani famba wewe.? 🤣🤣🤣 naona mafala wenzako wa nakuchekekelea
 
The Gross Domestic Product (GDP) in Kenya was worth 108.04 billion US dollars according to official data from the World Bank. The GDP value of Kenya represents 0.10 percent of the world economy. source: World Bank
sasa kwa hii hesabu trillion 10/usd129=usd 93.02bil public debt
GDP-PUBLIC DEBT=surplusUSD 15.38
sasa hawa ndo wataweza fikisha reli malaba kweli
70% of that public debt ni ya wakenya through Treasury bonds and bills. Again our GDP was $114B according to world Bank.
 
Mamiradi ya hovyo,hata yakifa kwangu ni Bora Kuliko hizi hasara
munashindwa hata kusimamia miradi watu wanakula pesa hadharani hakuna hata uwoga 😂😂😂😂 pesa zinakopwa watu wanakula tu bila huruma alaf munapoteza millions of money baba levo kuzunguka tanzania nzima atangaze uchawa, sijui tumerogwa wapi aisee
 
ichoboy01

TRC kupata hasara haimaanishi kuwa SGR ndio inazalisha hasara hiyo, Kuna ile reli ya kati ya zamani ndio tatizo na ndio hasara zote zinatoka huko. CAG amesema kwa kifupi kuwa TRC wanahitaji mabehewa na vichwa vipya, unafikiri alikuwa nanamanisha vichwa vya SGR or MGR?
bro mark my words subiri report ya 2024/2025 SGR itakuwemo u will see kama loss hakuna au ipo na tena itakwenda zaidi ya hapo, sasa hvi hakuna uwajibikaji ni kula pesa na kusifiana tu 😂😂😂
 
kawafufulia ndege ATCL ikiwa na deni la 35b leo deni limefika 95b within 3 yrs 😂😂

alaf bado munalazimisha uchawa na upuuzi ww ulitaka ATCL isifufuliwe nchi isiwe na ndege?
Kwanza kabla ya hapo mmejiandikisha sio tunapiga kelele tu ila kura hatupigi.
 
We kaoshe tu vyombo mzee. 🤣🤣🤣 unajua nini kuhusu burudani famba wewe.? 🤣🤣🤣 naona mafala wenzako wa nakuchekekelea
Baboon you can’t wish me away.

IMG_0519.jpeg
 
Back
Top Bottom