Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We maku siku hizi unasahau kunikumbusha kuoga
Screenshot_20250323_185418_Gallery.jpg
downloadfile-381.jpg
 

miaka minne mumeshindwa kuisimamia hasara inatoaka 102 to 224b alaf munajisifu hapa munaupiga mwingi ovyo kabisa miradi inahujumiwa mchana na usikua hakuna mtu anafatilia miradi inajiendea tu watu napiga pesa mpaka wanajisahau alaf muko hapa kusifiana uchawauchawa tu 😂😂😂😂😂😂

deni la taifa linatoka 56trillion to 100trillion within 3 good years tukiuliza miradi iliofanyika munaanza kurusha ngumi za hewani

yani inafkia hatu miundombinu ya reli nyanya za reli zinaibiwa zinakuja kukamatwa baada ya miezi 5 watu tumekaa kusifiana uchawauchawa tu😂😂

tuendelee kusifia tu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
 
miaka minne mumeshindwa kuisimamia hasara inatoaka 102 to 224b alaf munajisifu hapa munaupiga mwingi ovyo kabisa miradi inahujumiwa mchana na usikua hakuna mtu anafatilia miradi inajiendea tu watu napiga pesa mpaka wanajisahau alaf muko hapa kusifiana uchawauchawa tu 😂😂😂😂😂😂

deni la taifa linatoka 56trillion to 100trillion within 3 good years tukiuliza miradi iliofanyika munaanza kurusha ngumi za hewani

yani inafkia hatu miundombinu ya reli nyanya za reli zinaibiwa zinakuja kukamatwa baada ya miezi 5 watu tumekaa kusifiana uchawauchawa tu😂😂

tuendelee kusifia tu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Miradi ya hovyo 😁😁

Leta hapa ATCL,TRC wakipata faida na hayo mamiradi yenu ya hovyo awamu ya 5 😂😂

Mwisho mashirika yaliyoboreshwa na Samia yamepta faida

View: https://www.instagram.com/p/DHs7pRuCAfZ/?igsh=ZmxudmJoaXhxeWkw
 
Yani even after Serikali trjed to manage ATCL losses by giving them Tsh 100B bado wamepata tu hasara?

Meaning the real loss by ATCL is $75M and not $35M😂😂😂
hasara lazma ziwepo hakuna msimamizi vitu vinajiendea tu watu wanakula pesa mpaka wanajisahau, pesa zinakopwa ovyo machawa wamejaa kuliko hata watendaji wa kazi 😂😂

mwenye miradi yake kalala kaburini maskini yaaani 😥😥😥
 
Miradi ya hovyo 😁😁

Leta hapa ATCL,TRC wakipata faida na hayo mamiradi yenu ya hovyo awamu ya 5 😂😂
sio miradi ya ovyo mumeshindwa kusimamia miradi baba levo anazunguka tanzania nzima akitumia pesa za serekali kusifia tu yani machawa ni wengi kuliko watendaji wa serekali 😂😂😂😂😂

nyaya za uneme wa SGR zinaibiwa na hakuna report inatoka yoyote mindombinu inahujumiwa ovyo tu alaf utegemee faida, hio sahau mpaka kufa


siku zote mali bila usimamizi wa daftari huisha bila habari
 
sio miradi ya ovyo mumeshindwa kusimamia miradi baba levo anazunguka tanzania nzima akitumia pesa za serekali kusifia tu yani machawa ni wengi kuliko watendaji wa serekali 😂😂😂😂😂

nyaya za uneme wa SGR zinaibiwa na hakuna report inatoka yoyote mindombinu inahujumiwa ovyo tu alaf utegemee faida, hio sahau mpaka kufa


siku zote mali bila usimamizi wa daftari huisha bila habari
Mamiradi ya hovyo ya wakurupukji,cosmetic projects 😁😁

Nimesema weka hapa faida za hayo mamiradi yenu kuanzia 2020-2015 🤣🤣🤣

Mwisho mashirika yote yenye input ya Mama yanakula faida 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DHs7pRuCAfZ/?igsh=ZmxudmJoaXhxeWkw
 
Mamiradi ya hovyo ya wakurupukji,cosmetic projects 😁😁

Nimesema weka hapa faida za hayo mamiradi yenu kuanzia 2020-2015 🤣🤣🤣

Mwisho mashirika yote yenye input ya Mama yanakula faida 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DHs7pRuCAfZ/?igsh=ZmxudmJoaXhxeWkw

hebu chukua nyumba yako ya urithi alaf usiisimamie pesa ikapatikana ww kunywa pombe tu mpaka hati ua nyumba uiweke bond alaf useme baba hakutuachia urithi mzuri kisa tu umeshindwa kusimamia urithi wako 😂😂😂😂😂😂
 
hebu chukua nyumba yako ya urithi alaf usiisimamie pesa ikapatikana ww kunywa pombe tu mpaka hati ua nyumba uiweke bond alaf useme baba hakutuachia urithi mzuri kisa tu umeshindwa kusimamia urithi wako 😂😂😂😂😂😂
Huna lolote na mamiradi yenu hayo ya kupigia picha
 
Back
Top Bottom