Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

madeni ya ATCl hayajotolewa kwenye vitabu ila ruto aliwachezea akili akahamisha madeni kutoka kwenye madeni ya kq akayavisha juu ya vichwa vyenu musokua na akili 😂😂😂😂
So zile Bilioni 99 serikali yenu ilipea ATCL ilikuwa ya nini?😂😂😂

Alafu Ebu tuambie penye deni imetolewa in KQ accounts.
 
Ulipata zile nguo za ndani za bei chee.? 🤣🤣🤣
Yes baboon.

IMG_0519.jpeg
 
Mzee huwezi kununua hadi chupi nchini kwako.? 🤣🤣🤣 siku ukivuka boda si utakufa wewe.? Kumbe na kusoma kwenyewe ulipata wafadhili. 🤣🤣🤣
Najua nakuudhi lakini hakuna kitu utafanya. Now let’s get back to this, who copied who here? Wewe ama baboon?

IMG_0519.jpeg
 
70% of that public debt ni ya wakenya through Treasury bonds and bills. Again our GDP was $114B according to world Bank.
sasa hii ilikuwa ni kufikia june 2023
eti muwe na bond za kufikia 70% ya public debt
II. STOCK OF PUBLIC AND PUBLICLY GUARANTEED DEBT14. As at end June 2023, the stock of public debt was Ksh. 10,278.7 billion, equivalent to USD73.1 billion in nominal terms of which, domestic debt was Ksh. 4,832.1 billion whileexternal debt was Ksh. 5,446.5 billion (Table 5).15. As at end June 2023, the public debt as a percentage of GDP stood at 70.8 percent while totaldebt service as a percentage of revenue was 58.8 percent (Figure 1).

1743099927747.png
 
70% of that public debt ni ya wakenya through Treasury bonds and bills. Again our GDP was $114B according to world Bank.
according to your latest aupdates your public debt as at june 2024 is 10.6trillon bado nilikupunja tu mna surplus ya usd 21bil tu ndo maana mnashindwa kulipwa mishahara kenye county government
 
sasa hii ilikuwa ni kufikia june 2023
eti muwe na bond za kufikia 70% ya public debt
II. STOCK OF PUBLIC AND PUBLICLY GUARANTEED DEBT14. As at end June 2023, the stock of public debt was Ksh. 10,278.7 billion, equivalent to USD73.1 billion in nominal terms of which, domestic debt was Ksh. 4,832.1 billion whileexternal debt was Ksh. 5,446.5 billion (Table 5).15. As at end June 2023, the public debt as a percentage of GDP stood at 70.8 percent while totaldebt service as a percentage of revenue was 58.8 percent (Figure 1).

View attachment 3285223
Wewe ni fala. Out of 10T debt that we have, 6T ni Domestic which translates to 60%


View: https://x.com/C_NyaKundiH/status/1894566050349396157
 

Attachments

Back
Top Bottom