ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
kwani mm nimesema nn mzee 😂😂😂asa sgr imennza kufanya kzi lini ndugu? unajua hiyo report imecover kipindi cha kuanzia 1/7/2024 mpaka 30/06/2024. sgr imeanza kufanya kazi july unategemea taarifa yake utaikuta kwenye hiyo report. mbona rport imeelez vizuri sababu ya hasara, kuwa ni kuharibika kwa madaraja na upungufu uliojitokeza wa vichwa. itakuwaje kma trc walitumia kiai tajwa kwenye kurekebish mdaraja yliyokuwa yamesombw na maji?