Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si huwa mnasema mnatulisha? Inakuwaje tena mnaimport maziwa, mayai na biskuti kutoka Kenya? Land of milk and honey na mnaimport hayo hayo maziwa?😄😄😄
Nchi ya maziwa inafanya importation ya Maziwa na Mayai kutoka nchi ya njaa😂😂
 
Maziwa ni beverage! Na unless unatuhakikishia hakuna maziwa yanaingia kenya toka nchi jirani, ulichoongea ni ujinga!
1. You need English classes if you can't define food.
2. I never said we import milk, I said we export milk to you guys. I even remember you almost killed me sometime back when I mentioned that Kenya is the largest milk producer in Africa and that we export milk to you. Your resident chawa himself has posted an article claiming that you want to tax Kenyan milk. How can you tax Kenyan milk if you're not importing it?
 

“CAG imesema hasara hiyo imechangiwa na kupungua kwa mapato ya usafirishaji kutokana na uhaba wa vichwa vya treni na mabehewa pamoja na mvua kubwa iliyosababishwa kufungwa kwa njia kwa miezi minne.”

Naona chawa umekimbia kupost ukidhani ni SGR. 😂😂😂
 
“CAG imesema hasara hiyo imechangiwa na kupungua kwa mapato ya usafirishaji kutokana na uhaba wa vichwa vya treni na mabehewa pamoja na mvua kubwa iliyosababishwa kufungwa kwa njia kwa miezi minne.”

Naona chawa umekimbia kupost ukidhani ni SGR. 😂😂😂
Hiyo loss ni ya SGR pia😂😂😂.

Ama siku hizi SGR is not part of TRC?
 
Hiyo loss ni ya SGR pia😂😂😂.

Ama siku hizi SGR is not part of TRC?
tanzania financial year inaanzia tarehe 1/7/ year mpaka 30/6/ ya mwaka unaofuata. sgr oparation imeanza july ya 2024 kwa hiyo haiwezi kuwa katika report ya 2023/2024 kwa sababu mwaka wake wa fedha au report yake itakuwa kwenye report ya 2024/2025

1743073295907.png
 
“CAG imesema hasara hiyo imechangiwa na kupungua kwa mapato ya usafirishaji kutokana na uhaba wa vichwa vya treni na mabehewa pamoja na mvua kubwa iliyosababishwa kufungwa kwa njia kwa miezi minne.”

Naona chawa umekimbia kupost ukidhani ni SGR. 😂😂😂
Kawaingiza mkenge mpaka wanusa gundi wakadhani ni sgr, walivyo hawana akili wameshindwa hata kuelewa "......iliyosababisha kufungwa kwa njia kwa miezi minne"

Kwa kifupi faida inayotoka sgr ndiyo inaendesha shirika kwa sasa.
 
Back
Top Bottom