Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dunia ningekuwa inatambua hiyo, basi wangetuweka sote kwenye ligi ya LDC...Kenya haipo kwenye hiyo list tuko ligi za nchini za Uropa, Asia, America na South Africa...meza wembe 😀
Kuitwa DC haikusaidiii kuondoa umasikini katika kenya.

Eti tuko ligi za uropa unashindana na nani huko uropa mkenya na hiyo njaa yako???
 
CD5DD615-8513-4A69-9B48-EA3A3B0CEAF8.jpeg
 
kwanza hata Tz haitambuliki...people dont even know this country wacha vile wanajifanya fanya hapa...people out there think tz is a city inside Kenya...trust me I am not lying...
When they speak of Kilimanjaro they speak of Kenya
hata niliskia some south africans saying Diamond Platnumz is a Kenyan
the truth is nobody even knows if tz is a country or a city...it is one of the insignificant countries of Africa like Togo, Gambia, Sierra Leone, etc...in Africa, people only know Egypt, Kenya, Nigeria, Morocco, South Africa and Ghana..
DUHHH, 😀😀😀😀 hii ni kali ya Mwaka , Middle income country guy 😀😀😀😀
 
Nitajie nchdini yeyote Uropa LDC kisha utaje nchini yeyote LDC Africa uniambie kama Kenya itaorodheshwa hapo.😛😛
Mbona Kenya imeshawekwa kwenye kundi moja na Somalia, South Sudan, Ethiopia na Yemen kutokana na umasikini, njaa na insecurity?...hulijui hilo
 
Nitajie nchi yeyote Uropa LDC kisha utaje nchini yeyote LDC Africa uniambie kama Kenya itaorodheshwa hapo.😛😛
Wewe si uko ligi za uropa???

Nitajie nchi unayolingana nayo GDP?
Maana sifa kenya ni uniform.
 
tanzania itatumia njia tatu kufkisha mizigo uganda
1] from dar to mwanza port then port bell ug
2] from tanga/ bagamoyo to musoma then port bell
3] from dar to isaka tabora to uganda😀😀

A67D35D8-4516-41D8-ACB0-CF2929612037.jpeg

5B511D76-3D87-4762-AEB2-3DD4FD87E547.jpeg


alaf angalia magufuli alivokua na akili juzi tu kafungua modern one stop border kwenye mpaka wa uganda na tanzania na hapo ndipo SGR itapita
 
Ugandans are our brothers...Uganda is just like an extension of Kenya...we are almost the same country...just with two different borders....thats why I like the SGR....many Ugandans will be coming to Kenya often bringing business to Nairobi, Kisumu, Mombasa and beyond...after all, all thy need is an ID card...
Aise yamekuwa hayo tena!!?
 
kwanza hata Tz haitambuliki...people dont even know this country wacha vile wanajifanya fanya hapa...people out there think tz is a city inside Kenya...trust me I am not lying...
When they speak of Kilimanjaro they speak of Kenya
hata niliskia some south africans saying Diamond Platnumz is a Kenyan
the truth is nobody even knows if tz is a country or a city...it is one of the insignificant countries of Africa like Togo, Gambia, Sierra Leone, etc...in Africa, people only know Egypt, Kenya, Nigeria, Morocco, South Africa and Ghana..
Kwikwikwikwi
 
tanzania itatumia njia tatu kufkisha mizigo uganda
1] from dar to mwanza port then port bell ug
2] from tanga/ bagamoyo to musoma then port bell
3] from dar to isaka tabora to uganda😀😀

View attachment 656861
View attachment 656862

alaf angalia magufuli alivokua na akili juzi tu kafungua modern one stop border kwenye mpaka wa uganda na tanzania na hapo ndipo SGR itapita
Ita tuta.
 
Back
Top Bottom