Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wapi Kenya kwenye list ya LDC😛😛😀

Tafuta kwenye google utaiona hilo list ya nchi zenye njaa zaidi duniani, acha uvivu kutafutiwa information, Kenya ipo kwenye hali mbaya sana, wewe endelea kujifungia huko Kibera bila kutafuta information.
 
i understand sana😀😀😀😀😀
Please explain bro

Tafuta kwenye google utaiona hilo list ya nchi zenye njaa zaidi duniani, acha uvivu kutafutiwa information, Kenya ipo kwenye hali mbaya sana, wewe endelea kujifungia huko Kibera bila kutafuta information.
Kenya iko wapi kwenye list ya LDC duniani?
 
ugandans are just like kenyans,they know how to speak English well and are very social i think they are over 3 million in kenya
So you don't have supporting evidence is just the way you think?. Kuna watu kama millioni 4 toka Mombasa wapo Tanzania kwasababu wanajua Kiswahili vizuri.
 
Hapa JF ni sehemu ya kupigana vijembe kwahiyo kila mtu anavutia kwake, lakini ukipitia kwenye magazeti ya majirani zetu ambako ni wao wenyewe wanajaribu kutoa maoni kuhusu Tanzania, huko ndiyo utaona ukweli jinsi wanavyoizungumzia Tanzania na Magufuli kwa ujumla
.
Umenikumbusha jinsi Pro. Kabudi alivyotolea mfano wa jinsi wa zambia walivyokuwa wakisifia jinsi Mh. Rais anavyofanya kazi nzuri. Alitumia maneno kama yako kuwa aliachana na wabongo akaenda nje kusikiliza wao wanasemaje.

 
Haha wakenya wapo huku wamekuja kununua ardhi na kujishughulisha na kilimo na wengine wanafanya biashara ya mazao kuleta Kenya, ni zaidi ya 4M actually.
hakuna mgeni anaruhusiwa kumiliki ardhi tanzania sema hua wanawekeza na kuingia ubia na mzawa 😀😀
opportunity ya kumiliki ardhi hua wanaitaman ila hawataipata mpaka dunia inasmama
 
Back
Top Bottom