Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

na sijui kwann so far inatumika nguvu nyingi sana nastaajabu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

yani nguvu inayotumika utasema kuna upinzani wa kutisha wanagombani points ๐Ÿ˜‚
Hatari.

Wanasema ulianzia kwa Mzee wakati sifa kwa mzee zilikua genuine kwa kile anachokifanya sio unafiki ndio maana toka afe 3 yrs wanajaribu kuzima kwa gharama kubwa mabango kila mahali, kusifia kulikopitiliza kwa kila mtu hata kwa watu ambao hawatakiwi kufanya "Viongozi".

Afanye kazi atasifiwa.

Sio kiongozi flani yupo anablunder unamuacha kisa anasifia vizuri.

"Mwigilu", Chalamila, Mbarawa, wote wanaosimamia Mwendokasi, MADC na MARC ovyo.

Yaani ni noma kabisa. Now hakuna kumwajibisha kiongozi anayesifia vizuri. Na ndio wanamcost pakubwa.

Kwani hajajifunza kwa Magufuli hao hao waliokua wanajifanza kuchapa kazi now ni wazembe wakubwa na waharibifu na machawa wakubwa hadi kufikia kumtukana.

Legacy yako inawekwa na alama ulizoacha hata wakuchafue vipi hufutiki.

Aangalie kuacha alama sio controversies za waarabu kila kukicha.


Kamilisha miradi yote safi. Na miradi usiichafue na siasa za uchawa
 
huelewi nn wakati visit yake ni kuzindua phase II? au ubishi ni league yako? Kwani kasema kazindua kiwanda kipya?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป
 
Sasa kisa wazungu wanasukumana ndo waabiri mabasi ndo Sisi waafrika tuwaige, what kind of mental slavery is this. Ndani ya mathree ngong road๐Ÿ‘‡๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
1000010453.jpg
 
Serikali unafanya KAZI kwa tender na mwenye bei ndogo ndo Huwa anashinda. Kuumbuka mtu anapoamna tender anaweka na cha chuu na mara nyingi lazina kiwe kingi sabab malipo ya serikali mara nyingi huchukua muda mrefu.
Chukulia mfano kwenye ujenzi tu kwenye ujenzi matofali mara zote yanayotakiwa ni Yale walau ya mfuko mmoja kwa tofali 25 wakati mtaani ujenzi wa hivyo ni hasara tu.
Tukija kwa mfano street lights Kuna taa nzuri tu za mpaka 400,000 kwa watts 500 lakini ukigusa zilizowekwa kwenye barabaran nyingi bila hata nguzo unakuta zinaenda mpaka 1.2mil kimtaani ukiweka na gharama ya ujenzi na cha juuu kwa mzabuni SI ajabu ikafika 3mil .
Sio Kila kitu ni kupinga ukitaka tender za serikali hata wewe unaweza ukabid.
Kama utakubali kuingia kwenye tender kwa bei ndogo ila ukaja kulipwa baada mwaka karibu
hebu kuweni serious kidogo unaongea vitu gani wewe, ndio maana tulikua tayar kusaini mkataba wa bagamoyo port kwa yale masharti kwa maslahi ya wachache kwa sababu akili zetu hazijifunzi kila siku

camera 40 ni sawa na 514m hvi ww ukiwa na akili timamu unaona iko sawa??

hvi sisi watanzania tuna shida gani alaf tuko hapa tunawacheka wakenya kwa ajili ya ufisadi wao kumbe na kwetu pia kunaungua vile vile ๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป
 
hebu kuweni serious kidogo unaongea vitu gani wewe, ndio maana tulikua tayar kusaini mkataba wa bagamoyo port kwa yale masharti kwa maslahi ya wachache kwa sababu akili zetu hazijifunzi kila siku

camera 40 ni sawa na 514m hvi ww ukiwa na akili timamu unaona iko sawa??

hvi sisi watanzania tuna shida gani alaf tuko hapa tunawacheka wakenya kwa ajili ya ufisadi wao kumbe na kwetu pia kunaungua vile vile ๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป
Wewe na nani ambao mlipewa kazi ya kusema huu ni mkataba mzuri au mbaya? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Hii ni bei kubwa au ndogo? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Acha ujinga
 
Alafu wakuu kuna sababu za msingi zozote kwa Traffic kusimama kwenye mataa kuanza kupendelea upande mmoja wanaopita viongozi (Watumishi wa wananchi) kila siku.

Hakuna namna ya kuseti mataa yaongeze dk za kuruhusu au kuwa na smart traffic management sidhani kama smart traffic zinaweza kua ghali kama CCTV 40 500m kariakoo.

Tuelimike sasa yaani inakera Traffic kukaa kwenye mataa na wakati mataa yako fair yanaweza fanya kazi fresh tu. Kisa tu upande huo kuna kiongozi asie hata na ukubwa wowote anapita.

Ifike Muda tuwe na sheria kali mambo ya viongozi kuwa na vingora au kuzuia traffic iishie kwa WAZIRI MKUU TU.

RAISI-MAKAMU WA RAISI-CDF-CJ-SPIKA-WAZIRI MKUU. Wizara nyingine zitapewa kulingana na unyeti au influence kubwa mfano Wizara ya Fedha au Ulinzi.

HAO WENGINE NI BIG NO. Na wakichelewa kwenye Majukumu waajibishwe huu upumbavu ndio maana hatuendeli.

Yaani mtu hajui hata Barabara ina kero kwa sababu anateleza kutoka home hadi office.

I BELIEVE WAKIANZA KUPATA TABU KUPITA SEHEMU HAWAKAWII KUPENDEKEZA HATA NJIA 4 Barabara flani na kutaka imalizwe ujenzi.

Imagine Viongozi wachukue Treni iwakwamie wachelewe Bungeni alafu unawatia adabu na Deduction ya stipends, pamoja na onyo, pengine hata kuwaambia wakae nje.

Wataweza tena kuvumilia uzembe TRC?
 
Did that photo show anyone going through the window? Eti in Nairobi...wtf is Nairobi? Have you seen Dubai metro during rush hour? Or London underground or Tokyo metro during rush hour? We ain't talking about Matatu here
So there is no rush hour in Nairobi
 
Back
Top Bottom