Serikali unafanya KAZI kwa tender na mwenye bei ndogo ndo Huwa anashinda. Kuumbuka mtu anapoamna tender anaweka na cha chuu na mara nyingi lazina kiwe kingi sabab malipo ya serikali mara nyingi huchukua muda mrefu.
Chukulia mfano kwenye ujenzi tu kwenye ujenzi matofali mara zote yanayotakiwa ni Yale walau ya mfuko mmoja kwa tofali 25 wakati mtaani ujenzi wa hivyo ni hasara tu.
Tukija kwa mfano street lights Kuna taa nzuri tu za mpaka 400,000 kwa watts 500 lakini ukigusa zilizowekwa kwenye barabaran nyingi bila hata nguzo unakuta zinaenda mpaka 1.2mil kimtaani ukiweka na gharama ya ujenzi na cha juuu kwa mzabuni SI ajabu ikafika 3mil .
Sio Kila kitu ni kupinga ukitaka tender za serikali hata wewe unaweza ukabid.
Kama utakubali kuingia kwenye tender kwa bei ndogo ila ukaja kulipwa baada mwaka karibu