Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umesoma response ya Airtel kwa Hilo swali la jamaa yenu.

Haya mpeleke will Pozzee, kaandamane kabisa Pozee apewe tangazo la Airtel.
Mada ni wewe kuita Wakenya roho mbaya kisa wengine wao kachukizwa na Diamond kuchukuliwa. Usibadilishe mada. In fact ingekuwa huko Bongo serikali yenu ingepinga, saa zingine mimi huona serikali yetu inakuwa nzuri kwa majirani sana kupitiliza. Ipo siku tutapata yule Rais wa tit for tat mtakielewa.
 
Acha ujinga CEO mkenya ndio nyie kukuza. Mbona ilikua most companies.

Hadi BARRICK Gold Mine Raisi alitaka Mkurugenzi mzawa now ni Wazawa.

Incompetent Egypt Arab??? Uliona CV yake hadi kuwa Incompetent.

Kwani si mshajibiwa Diamond ni Borderless, haya sasa msaanii gani wenu ni bordeless akiwekwa kwenye tangazo watamfahamu nje ya Ukunyani?

We jamaa na IamLee mnazingua kujifanya special.
Wapuuzi sana sasa kama Airtel inataka msanii wa ku-market Borderless network across Africa, ni Mkundustani gani anaweza fit hiyo category? Wakundu ni wapumbavu sana wanataka kuingilia market strategy ya makampuni sasa! No wonder Africa imemkula kichwa Raila!
 
I'm sure no Tanzanian would want a Kenyan promoting your stuff either. Ama ushaasahau Vodacom once appointed a Kenyan woman as CEO mkamkataa hadi Rais akaingilia mkisema eti mnataka Mbongo. Vodacom then went ahead and appointed an incompitent Egyptian Arab na mkanyamaza mkamkubali. Mnataka tumpende wakati nyie mmejawa na chuki dhidi yetu?
Sio chuki, ila ubadhilifu, ufisadi, nepotism, favouritism, poor teamwork ni sifa zenu!!! Ingawa Vodacom sio shirika la serikali ila nchi mzima inataka lifanikiwe...... wakenya mkipewa kazi huku ni kwenye mid-level managerial roles, kitchen manager, front of house manager. Head of house keeping. Because we need your skills a d we put you in a position where you have to share and transfer those skills. Ila kwenye top level SAHAUNI!!
 
Back
Top Bottom