buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Naona AFCON 2027 inaweza kua na vituko vingi kwenye facilities.labda wataenda na charter flights!
Jamaa wakaona wasukumize zote NAIPORI 😂😂😂 kujiwahi mapema.
Dodoma Msalato inakamilika, SGR ipo, Arusha KIA tayari ipo, Arusha Airport ipo, Znz tayari ina International Airport, Dar ina International Airport.
Hotels Dar, Arusha, Znz zinakidhi, Dodoma I hope serikali iwe serious na kufanyia kazi Dodoma Msalato Airport ikikamilika ili ofisi za Ubalozi na mashirika wahamie Dodoma, huenda Hotels zikaongezwa.