Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ivi watumishi huwaga wanapewa target kweli?

Kingine unaweza kuta tunawaonea bure sababu unakuta mtumishi akijaribu kufanya kazi watu wanaletea siasa maeneo yao ya kazi wanaamua kuacha wasubiri maelekezo.

Siasa zipunguzwe kwenye utendaji, zaidi ya siasa zibaki kuomba matokeo.

Mfano mzuri, KITENGO CHA TANROAD cha hifadhi ya Barabara Watumishi tuseme Dar watafanya kazi gani maana wakiamua kila vijiwe vya Bodaboda, Machinga, bajaji watoke hifadhi ya Barabara utasikia siasa zinaingia waachwe waachwe licha ya Sheria kukataza.

Mzee sikumkubali kwa hili la Wamachinga
Kwanza hii kazi ya utumishi inapaswa kuwa ya mkataba na isizidi miaka 10 mtu anatoka anawaachia wengine.
 
Duh nikaangalie Fursa za Ardhi kuwekeza huko, maana si kwa spidi inayokuja hapo.

Nani mwenyeji wa huko humu?

Ndio Raha ya Tanzania popote ni home kabisa na wenyeji hamna roho mbaya ya kunyima fursa.
Nipo Tabora mjini
 
If that was the case, it could have reflected in a boom in construction projects in your capital. Tell us any meaningful real estate development projects going on in Dar and their value
prank unamchafua mtu namna hiyo?
 
Your NHC has only completed 4 projects so far😂😂😂

IMG_1125.png


Only one ongoing project, hizo zingine are all stalled.
IMG_1126.png
 
Back
Top Bottom