Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,876
- 103,734
hahaha nimeona aisee kumbe kuna vita huko kuna jamaa anadai ati Tanzania ni socialist state ndio maana serikali inajenga vituo wakati huko kwao capitalist na individuals wanajenga! Cha ajabu haonyeshi hizo private bus terminals na anasahau all western nations wana bus terminals zinajengwa na municipal governments zao kama sisi!Da Humu ndani Ndio utajua Kuwa Wakenya Wana Wivu na Chuki sana dhidi ya Tanzania
Jamaa Wameumia Sana
Ila nimependa Kuona Sasahivi Watanzania Hawapo Nyuma Wanawapiga Kweli kweli Yaani Wakenya Sasahivi Wameshakuwa Wadogo Kama Piliton kwa Watanzania MitandaonššView attachment 3231774