Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haiti must be free.

More police Officers to Haiti.


View: https://x.com/moneyacademyKE/status/1887403353858314564

Compare 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇

1738830932695.png


1738831010177.png
 
wanaweza sana kama kutakua hakuna rushwa na kuwepo na usimamizi madhubuti.
Rushwa na hizo habari za Usimamizi ndio zinazuia watu kuweka umeme? Nachojua Mimi ni kwamba maombi huko Tanesco ni mengi kuliko uwezo wa kifedha wa Tanesco kumhurumia kila mmja.

Shida sio umeme Bali wao Kuwafikia wateja.
 
So Tanzania is the only country with weddings? Wewe Nenda ukaangaliwe akili.

Harusi pia ni kitu ya kuringia mtu?😂😂😂
Unajua kabisa sio just wedding hapo ni thamani ya zawadi, ni wapi Mkundustan katoa zawadi ya a whole filling station na multimillion mansion at a go?, zawadi ya lc 300 zero kilometer? Tena watu wa kawaida tu huko mitaani sio wanasiasa, Kunyaland hamna hii level of purchasing
 
Wale Wachina wanaoexport their products ni kumaanisha hakuna local demand? Wewe jamaa ni fala sana. Just accept that your companies can’t produce quality products to convince their customers, that’s why Kenyan manufacturing companies are winning big in Tanzanian market.
Unaweza kutoa mfano wa kampuni ya Kenya yenye market share kubwa
 
Back
Top Bottom