Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,238
- 33,471
Tanzanians are trying very hard to save face after kuchapwa na M23😂😂😂M23 wakila kichapo leo 🤣🤣🤣
Tanzanians are trying very hard to save face after kuchapwa na M23😂😂😂M23 wakila kichapo leo 🤣🤣🤣
Huyo mbwa amenyorosha jeshi lenu using kids with machete.kwani DRC ni nchi ya nani huyu mbwa kulazimisha EAC forces? hivi ni huyuhuyu aliyekubali wakimbizi kutoka UK analalamikia uwepo wa Congolese refugees in Rwanda? hypocrite!
Heb ngoja nikurahisishie wala usijipe faraja. 👇🏾to make the records clear
Nyumba za 8 floors ndio unapigia kelele? Hizi hata zile za Kisumu imeshinda.Heb ngoja nikurahisishie wala usijipe faraja. 👇🏾to make the records clear View attachment 3218893View attachment 3218894View attachment 3218895mana ulishaanza kujipa faraja 🤣🤣🤣 uki zoom in utapata kuona ni construction site kuubwa.
How soon? That was 15 years ago… 😂Soon is coming
baaada ya NHC kuruhusiwa kuchukua mikopo ya kiupigaji 😂😂😂😂Kwa JK, Mwendazake akauua na Sasa Samia ameufufua.
heheheHabari yako, Naona bado unaumia. Mbona sioni hapa Kama imeandikwa kwamba hao ni wasimamizi?😂😂👇👇
View attachment 3218873View attachment 3218874
Ni upuzi kuwashwa na za wengine ilhali kwako kunaungua pia...hii obsession yenu na kenya si ya kawaida30% ya wakenya 59,000,000 ni wakenya 17,700,000 lazima wafe wakenya hawa watake wasitake, mana ARV zinasitishwa na dawa kutakuwa hakuna, so hao ndiyo wakenya ambao watakufa kutokana na kukosa dawa za kupunguza madhira ya ukimwi.
Shida yenu ni kwamba mnawaza ngono sana, haishangazi kuona nchi ndogo kama yenu ina watu zaidi ya 60m.Ni upuzi kuwashwa na za wengine ilhali kwako kunaungua pia...hii obsession yenu na kenya si ya kawaida
Hiyo hiyo kwa sababu hela za NHC mlikwapua mkafilisi shirika.baaada ya NHC kuruhusiwa kuchukua mikopo ya kiupigaji 😂😂😂😂
kaufufua na mikopo ya kwenda 😂😂
Wacha maswali ya kijinga,miaka 6 ujenzi haukufanyika Kwa sababu haikuwa kipaomnele Cha Rais aliyepita ila Kwa Sasa ni kipaomnele ndio maana ujenzi ume resume.Mbona inachukua miaka kumi na.. kufanya ujenzi wa some apartment blocks 😂😂