IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 7,287
- 9,453
15 years later 😂😂😂
15 years later 😂😂😂
Kiswahili’s origins can be traced to the Kenyan Coast before Tanzania idk what you talking aboutSio mbaya mkitusaidia, sisi tumewafundisha nyinyi na nyie mnafundisha wengine.
Soon is coming
Ujenzi unaendelea
Hatumii hata mtungi wenu wa chang'aa mwanzo mlisema ni wa GOK lakini Leo nauli mnamlipa mchina tena Kwa miaka mia na kwenye na barabara nazo hivyo hivyo
Sasa mbona hujui Kiswahili msenge wewe, hata kujibu kwa Kiswahili tu umeshindwa na bado unasema ni chenu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kiswahili’s origins can be traced to the Kenyan Coast before Tanzania idk what you talking about
miaka mitatu pesa imekopwa kuliko marais wote waliotoka madarakani alaf bado unakutana na mabango nchi nzima na sifa kibao unashangaa machawa wamekua wengi kumbe kua chawa sasa hvi ni ajira 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻Sasa hayo matrillion za 50 waliyokopa wamepeleka wapi?
wizara ya ulinzi ni wasimamizi tu wa mradiHapana hao ni wamiliki wa ardhi ila uwanja wa wachina wewe hujiulizi hiyo budget ya wizara ya ulinzi kujenga uwanja wa dollar zaidi ya 300m imetoa wapi na kwanini iwe wizara ya ulinzi na sio michezo?
Hilo swali limejibiwa sana humu ,na wapi zimekwenda Baadhi yake ni 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DE_CHgnNvZ9/?igsh=MXNiMnJwcWl4OW5rMQ==
Kana kwamba haitoshi zingine hizi hapa 👇 👇
View: https://www.instagram.com/p/DFR4ZlBqSK8/?igsh=cmJiODVlZncwY25t
unaendelea wapi?? na mm naomba nione pia 😂😂Ujenzi unaendelea
Msaada kutoka Kwa mjomba wako au siyo? 😂😂hvi ww unajua kwamba jica ni msaada na huo ni msaada wa kila mwaka wanatoa kwa nchi nyingi za africa au wewe ulifkiri hzo hela ni mikopo kwamba zitatudishwa?😂