Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
sina pichawapi city taxi za kisumu😀😀😀
sina pichawapi city taxi za kisumu😀😀😀
Eh bwana eh kuna na hizi bwana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Airport yenu hiyo unaanza kuikana anyway nitakuja kunywa kokakola nimeona tangazowapi imandikwa airport? 😀😀😀hilo duka nimeona pahali pamandikwa cocacola😀😀
pwahahahahha Mwanza skyscrapers
![]()
yap zipo boda boda za baiskeli, pikipiki na taxi za gari...lipi jipya hapo?😀😀😀hata Nairobi hizo baisekeli zipo tele...ila haimaanishi kuwa hizo ndizo zinazotumika taxi 😀😀😛😛
ur very childish you guy...Mombasa
![]()
![]()
![]()
![]()
nioneshe taxi gari za kisumu nasubiria😀😀😀yap zipo boda boda za baiskeli, pikipiki na taxi za gari...lipi jipya hapo?😀😀😀hata Nairobi hizo baisekeli zipo tele...ila haimaanishi kuwa hizo ndizo zinazotumika taxi 😀😀😛😛
Hivyo ni viota vya ndege ama sioni vizurNimeanza usikimbie sasa. Maana nimekupatia sekunde chache umeanza kubweka.
Real life in Kenya DC country (Old stone age life)
![]()
![]()
![]()
naweza nikaleta picha za taxi kutoka kisumu ila sijui vile nita prov kwamba hizo picha ni za Kisumu....taxi za Kisumu zinafanana na taxi zingine tu wala hazina jina Kisumu Taxi...we jua tu kuwa kuna taxi Kisumu....tena tele...huwezi kuniambia mzungu anashuka toka Kisumu airport kisha anabebwa na baiskeli mpaka hotelini...hapo utakua punguani kufikiri hivyonioneshe taxi gari za kisumu nasubiria😀😀😀
sijapata kuona jiji duniani lenye taxi baiskeli sijapata kuona😛 zaidi ya kisumu na eldoret na nakuru
Mwanza kubwa sana kwa Mombasa. Twende na Unguja uone mambo wewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah!hili jina lipo fun sana....ukunda...kidogo nitamke "u-k*ndu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
karibu sodaAirport yenu hiyo unaanza kuikana anyway nitakuja kunywa kokakola nimeona tangazo