Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

malindi-mosque-2-copy.jpg
 
yap zipo boda boda za baiskeli, pikipiki na taxi za gari...lipi jipya hapo?😀😀😀hata Nairobi hizo baisekeli zipo tele...ila haimaanishi kuwa hizo ndizo zinazotumika taxi 😀😀😛😛
nioneshe taxi gari za kisumu nasubiria😀😀😀

sijapata kuona jiji duniani lenye taxi baiskeli sijapata kuona😛 zaidi ya kisumu na eldoret na nakuru
 
nioneshe taxi gari za kisumu nasubiria😀😀😀

sijapata kuona jiji duniani lenye taxi baiskeli sijapata kuona😛 zaidi ya kisumu na eldoret na nakuru
naweza nikaleta picha za taxi kutoka kisumu ila sijui vile nita prov kwamba hizo picha ni za Kisumu....taxi za Kisumu zinafanana na taxi zingine tu wala hazina jina Kisumu Taxi...we jua tu kuwa kuna taxi Kisumu....tena tele...huwezi kuniambia mzungu anashuka toka Kisumu airport kisha anabebwa na baiskeli mpaka hotelini...hapo utakua punguani kufikiri hivyo
kisumu22-jpg.654960
 
Back
Top Bottom