Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Two wrongs don't make a right. Hakuna media ya bongoslum inaweza chapisha habari kama hio. Sahii munalamba haga ya mama mbaya sana.
😂😂😂😂😂 imekuuma kuona ruto yuko na 1990% na wetu kua na 1000% yani ruto ni mara mbili anaiba pesa zenu
 
Daykio Estate, Juja, Kiambu, Nairobi Metro.
Construction of the Estate began just recently but I can assure you, it will get 100% paved before Darislum's top neighborhoods reach 60% paved.

473373427_3238038896338085_8002853735921317749_n.jpg
474010905_3238038933004748_5224192573086858833_n.jpg


Infact barabara zishaanza kujengwa.


View: https://www.youtube.com/watch?v=i7uly-u1Vxc

I watched this video yesterday and was amazed at how fast the construction went.
 
Iniume kwa nini, yet Ruto anakemewa kila siku while nyinyi munaendelea kulamba haga ya mama kila siku. You are also forgeting our GDP per Capita is double bongoslum's.
Mnamkemea kila siku lakini ameziba masikio hata hawasikii. 😂😂😂
Hiyo nguvu si muitumie kujenga uchumi!
Police brutality imepamba moto.
Abduction imepamba moto.
Corruption imapamba moto.
Migomo ya kudai mishahara imepamba moto.
Vijana wanauwawa na kutupwa kwenye viroba.
Cost of living imepamba moto.
Mambo ni mengi.
 
Huyu ana Kaupuuzi Kweli kweli Ametoka Kenya Na Uyanga wake
Na kulazimisha Kuingia Uwanjan Kwa Nguvu Kwakujiona sijui nani!?
Na Bahati nzuri Simba Wanamjua fika ila Alicho Kipata Atajifunza
Ndio maana huwa nadharau bootlickers. Yani wewe maisha yako yote ni kulambalamba watu na wale unaowalamba wanakuchukulia mpuzi.😂😂
 
Huyu ana Kaupuuzi Kweli kweli Ametoka Kenya Na Uyanga wake
Na kulazimisha Kuingia Uwanjan Kwa Nguvu Kwakujiona sijui nani!?
Na Bahati nzuri Simba Wanamjua fika ila Alicho Kipata Atajifunza
Hypocrites, si hua munamsifu hapa kila siku, leo munampiga vita kwanini. 🤣 🤣 🤣 Anyway muwache ushamba, mjifunze kuheshimu journalists. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom