Ni sahihi alikuwa sawa kabisa. Kuna mfumo wa signalling na schedule ya Train hii inapatikana control center kuanzia DSM to Mwanza unaweza kuona kila kitu.
Hii watchdog ni kuongezea kwenye mambo ya safety, security na surveillance. Kwamba hata kama njia ina inaonekana hakuna loco inatemebea, yawezekana kuna mahali umeme haufiki vizuri. Ndio wana fanya installation ya mfumo mpya huo kuongezea ulinzi na udhibiti... Mfumo unatoa notification na signal at exact place ambako kuna changamoto na nature ya changamoto, hivyo team ya ufundi inafika fasta ku rescue situation.