Ukitaka mbishane siku nzima muambie nchi yao ina masikini wengi na slums nyingi. 😂😂😂
Ngoma jua kali hii, uwanja umeanza kujengwa mwaka jana mwishoni zen mwaka huu umeisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni wapi ulisoma kwamba Talanta is being built to host Chan?
Talanta is being built specifically for AFCON and is slated to be ready by December this year according to the contractor and going by these images, it will surely be ready in Dec, almost two years ahead of AFCON View attachment 3202454View attachment 3202456View attachment 3202460View attachment 3202461
Kama sio msaada tuambie inajengwa kwa sh ngp 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Afadhali hiyo sio msaada kama makwapa stadium
Sasa umeacha kazi yako ya watchman umekuwa engineer tena?😂😂Ngoma jua kali hii, uwanja umeanza kujengwa mwaka mwishoni zen mwaka huu umeisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa jamaa huwa wanachekesha sana.Uoni supermarkets,nimekutoa akili hapo ila elimu ndogo huwezi kuelewa,TZ hatuna supermarket kama hiyo,tuletee bus terminal kama ya magufuli huko kwenu,kila nchi ina strategies yake,ni kawaida cha huku kutokuwepo kule
Leta ushahidi ni msaada na Mimi nilete ya makwapaKama sio msaada tuambie inajengwa kwa sh ngp 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huwa hakapendi sema basi hana la kufanya cz ndiyo iko hivyo na haitobadili ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukitaka mbishane siku nzima muambie nchi yao ina masikini wengi na slums nyingi. 😂😂😂
Of course haitobadili ukweli. Na huo ukweli ndio hii hapa kutoka World Bank hata kama hamtaki kuukubali😂😂Huwa hakapendi sema basi hana la kufanya cz ndiyo iko hivyo na haitobadili ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tupotee wapi wakati ukweli ndio hii hapa?!Leo watapotea kidogo halafu watarufi kesho kwa kuchungulia 🤣🤣🤣🤣
Tuliopanda train za Ulaya tunajua hii kitu ni world class
Ila mbuzi wa Kibera anapanua mdomo kufananisha na ile takataka yao lakini huwezi kumlaumu ndio kitu alichpwahi kuona na kupanda.
Ila wanuka mavi na walala njaa wanabisha wakijinasibu kuwa gari moshi yao ndio nzuri🤣🤣🤣
View attachment 3202260
Acha uvivu,fanya siku 1 uexplore naikundu yote upate kulijua jiji lako,acha kujizimisha data
News ya Miaka 6 iliyopita. Sisi tunaongelea news ya 2025 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇Tupotee wapi wakati ukweli ndio hii hapa?!
View attachment 3202615![]()
African countries show mixed progress towards poverty reduction and half of them have an extreme poverty rate above 35%
Extreme poverty will become a predominantly Sub-Saharan African phenomenon in the coming decade and the continent will be home to the lion’s share of the global poor by 2030. The recently published Poverty and Shared Prosperity report 2020 shows...blogs.worldbank.org
HizoUnafikiri sisi wakenya ni kama nyinyi mnaolazimisha mambo?
![]()
African countries show mixed progress towards poverty reduction and half of them have an extreme poverty rate above 35%
Extreme poverty will become a predominantly Sub-Saharan African phenomenon in the coming decade and the continent will be home to the lion’s share of the global poor by 2030. The recently published Poverty and Shared Prosperity report 2020 shows...blogs.worldbank.org
Du mpaka unatia huruma,hizi Data umeleta za 2017 karibia decade , kumbuka huu ni mwaka 2025 Kuna difference ya miaka 8 hapo. Leta data za walau 2023. Unaogopa nini?Tupotee wapi wakati ukweli ndio hii hapa?!
View attachment 3202615![]()
African countries show mixed progress towards poverty reduction and half of them have an extreme poverty rate above 35%
Extreme poverty will become a predominantly Sub-Saharan African phenomenon in the coming decade and the continent will be home to the lion’s share of the global poor by 2030. The recently published Poverty and Shared Prosperity report 2020 shows...blogs.worldbank.org
Sio ya 2020 hizo data ni za mwaka 2017 ili taarifa ni ya mwaka 2020News ya Miaka 6 iliyopita. Sisi tunaongelea news ya 2025 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇
View attachment 3202620
Kenya’s poverty rate stands at 39.8%, says National Bureau of Statistics (KNBS). This is the East African Community poverty rate picture:
Somalia: 70%
(R Congo): 63%
Burundi: 56%
Kenya: 39.8%
Uganda: 37%
Tanzania: 26%
Rwanda: 25%
Jamaa anachanganyikiwa 🤣 🤣 🤣 Harudi tenaSio ya 2020 hizo data ni za mwaka 2017 ili taarifa ni ya mwaka 2020