President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,068
- 93,470
Name one thing that they run or one industry. Go ahead..The same way Somalis and wazungu run everything in kunduland.
Are sure mnazalisha umeme kwa wingi kuliko nchi yoyote east africa mbona data za power mko below sana na data zenu za mtandaoniMambo ya taa wala isikusumbue akili. We are the region's biggest producer and consumer of electricity. Hayo ya taa ni mambo madogo
He has the memory of a mosquito 🦟… don’t waste your time… Remember alisema if Obama is Kenyan atafunga account… and when we cornered him akapiga chenga akasema ati Obama hates Kenya …Also remember he declared ati tukihost AFCON opening and closing ceremonies atafunga account … don’t hold your breath to that..😀😀 Hana msimamo … as I said before, engaging with Alaska 007 aka the watchie is like playing guitar to a goat … 😄😄Thought you said it will never get built?🤣🤣🤣 What changed
Kila kitu kina time frame, kwa sababu ya kuchelewa kwenu mashindano imebidi yasogezwe mbele na hatuko sure mtakuwa mmemalizaThought you said it will never get built?🤣🤣🤣 What changed
Unaumia sana and it’s showing … my thoughts and prayers are with you ..😂😂😂So, Talanta itakuwa imeisha kufikia August? Wewe ni kichaa usinipotezee muda.
you guys are here talking about how the lady who was abducted Maria’s father is Kenyan so she is Kenyan but when it comes to Obama that’s where you draw the line 😂😂😂😂Weka ushahidi kwamba ni mkenya huyo niondoke jf 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
sio ready ni vile hakuna nchi nyingine ilikua tayar kama rwanda wangekua na two international standards nakwamhia CAF wasingerudi nyuma, wapumbavu nyinyi munajisifia ujinga miaka kwenda miaka rudi kazi yenu nikusifia upuuzi wakat nchi imekufa 😂😂😂😂😂Tutawaambia hadi lini kwamba CHAN will only be held when Kenya gets ready? Hata hiyo August ifike na ipate Kenya haijamaliza maandalizi bado itahirishwa tu.
In the meantime, jiandae kutazama draw ikifanywa live from East Africa's most important city Nairobi leo usiku. I hope your solar TV has enough charge 😂😂
Main sponsor ni NBC Bank!Companies owned by Kenyans. Watanzania, Zoomalis na hao Wazungu wenu wote wako chini ya hizi Kampuni. Hata hio Ligi yenu fukara sponsor mkubwa ni Sportpesa
View attachment 3202324
Mbona Rwanda na Kila siku mnajisifu kwamba mko na CAF approved stadiums. Si CAF ingetumia tu hizo viwanja zenu now that za Kenya bado haziko ready?sio ready ni vile hakuna nchi nyingine ilikua tayar kama rwanda wangekua na two international standards nakwamhia CAF wasingerudi nyuma, wapumbavu nyinyi munajisifia ujinga miaka kwenda miaka rudi kazi yenu nikusifia upuuzi wakat nchi imekufa 😂😂😂😂😂
eti supa pawa kukamilisha kasarani kwa wakat inawatoa mavi ndio maana nchi yote mumeuza kwa mchina sahii hakuna kitu munafanya bila mkono wa mchina
ana only one stadium angekua na two stadiums nakwambia CAF wasingesubiri upuuzi wenu, nyinyi ni wajinga wapuuzi alaf kila siku munakaa kusifia ujinga wenu ndio maana nchi inaanguka kwasababu ya ujinga wenu ng'ombe nyinyi😂😂😂Mbona Rwanda na Kila siku mnajisifu kwamba mko na CAF approved stadiums. Si CAF ingetumia tu hizo viwanja zenu now that za Kenya bado haziko ready?
Wewe bwege tangu lini Talanta ilikuwa inajengwa kwa ajili ya Chan?Kila kitu kina time frame, kwa sababu ya kuchelewa kwenu mashindano imebidi yasogezwe mbele na hatuko sure mtakuwa mmemaliza
Bongolala, Kila siku mnajigamba hapa kwamba mko na approved stadiums hadi Kuna kipindi mkasema kwamba haya mashindano mnaweza andaa wenyewe kama Tanzania. Iweje Sasa mnataja Rwanda now that Kenya 'inazembea'? Si muyaandae pekee yenu Dunia Ione? Mbona mnasubiri Kenya?ana only one stadium angekua na two stadiums nakwambia CAF wasingesubiri upuuzi wenu, nyinyi ni wajinga wapuuzi alaf kila siku munakaa kusifia ujinga wenu ndio maana nchi inaanguka kwasababu ya ujinga wenu ng'ombe nyinyi😂😂😂
Ama tumpeleke Alaska apate matibabu? 🤣🤣🤣🤣Unaumia sana and it’s showing … my thoughts and prayers are with you ..😂😂😂
Kunyan wangejua tunavyowachukulia wala wasingejisumbua kujikwezqSlums in Kenya hazipo tu kibera, usitake kuichukulia kibera kama ndiyo sehemu pekee kuna slum. Ndani ya Nairobi pekee kuna ma slums makubwa yanayofanana na kibera, na naskia kwa sasa ma slums yame triple huko Kenya, mko hovyo hovyo hovyo sanaaa, watanzania wote wanaidharau Kenya tena sanaa, mtoto mdogo wa kitanzania ukimuuliza unaifahamu Kenya? Atajibu kwa kuanza na njaa, then slums kwasababu ndiyo kitu wanajua kuhusu Kenya.
kwani tuliomba pekee yetu situlikua watatu na kila mmoja aliambiwa awe na 2 international stadiums and above wewe chizi nn unafkiri tungekua pekeetu tungekua tunawasubiri wapumbavu wakubwa kama nyie munaosjifsia ujinga muda wote 😂😂😂😂😂Bongolala, Kila siku mnajigamba hapa kwamba mko na approved stadiums hadi Kuna kipindi mkasema kwamba haya mashindano mnaweza andaa wenyewe kama Tanzania. Iweje Sasa mnataja Rwanda now that Kenya 'inazembea'? Si muyaandae pekee yenu Dunia Ione? Mbona mnasubiri Kenya?
Ni wapi ulisoma kwamba Talanta is being built to host Chan?So, Talanta itakuwa imeisha kufikia August? Wewe ni kichaa usinipotezee muda.