Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mm nilisema kitambo, haya mashindano Tanzania inapaswa tuandae wenyewe, hivi vinchi vya EA ni ushuzi, sasa kuna mbwa mmoja bila aibu anajaribu kuongopa ili kuji console na kufuta aibu eti CAF wame postpone kwasababu Kenya haijakidhi vigezo ila kama ingekuwa nchi nyingine mashindano yangefanyika, what is so special with Kenya, haina ligi bora, haina viwanja bora, haina rekodi nzuri kwa national team. Hiyo ni sheria kwamba kama mmeomba wote mfanye wote, mmoja wenu akiwa hayupo tayari mashindano yanahairishwa kwasababu mmeomba kwa jina la wote iko hivyo. Wakenya mnatia aibu, kitu ambacho nmekisema mara zote ndiyo kinatokea sasa, na nilikisema sio kwa bahati mbaya ni kwasababu naijua Kenya ni ujanja ujanja tu lkn hamna kitu. Hata afcon hamtokuwa na uwezo wa kuandaa.
 
Norwegian that is Europe. Tanzanian sgr is better than European standard mbona sioni embassy wakisifia gari moshi lao
Tuliopanda train za Ulaya tunajua hii kitu ni world class
Ila mbuzi wa Kibera anapanua mdomo kufananisha na ile takataka yao lakini huwezi kumlaumu ndio kitu alichpwahi kuona na kupanda.
 
Kundurenda is the reason for the postponement of the event!
Nmeimba sn humu tangu mwaka juzi kwamba Kenya haina uwezo wa kuandaa haya mashindano, hiyo nafasi ilibidi apewe Rwanda na sio Kenya, sasa kwa sheria zilizopo FIFA ni kwamba kama mmeomba wote ni lazima muandae wote, but I'm sure kwamba nafasi ya Kenya atapewa Rwanda mana hawa jamaa hawana huo uwezo, hata ikifika August watakuwa bado, imagine pesa ya kujenga uwanja tu ikabidi waombe msaada, hawa jamaa hawako serious kabisa, ni zaidi ya Makatuni.
 
hii ndio faida ya kushirikiana na kenya 😂

View attachment 3201893
Alafu kombe jipya hili, hawa wanuka mavi tukiwaendekeza tutakosa nafasi hii adhimu ya kuandaa michuano hii yenye kombe jipya, CAF wameongelea infrastructure sio tu uwanja bali hivi vinchi tunavyoshirikiana navyo haviko vizuri hata kwenye logistics, hawana BRT, hawana treni za umeme wala viwanja vya ndege vya kueleweka, ilifaa tuandae wenyewe. Sijui nani alitoa hilo wazo la kuandaa pamoja.
 
CAF hawaezi Kubali to show the world that ugly side of Africa when there will be this beautiful view.

Talanta view.

1736149155805.jpeg
Even Kasarani has a much better surrounding area than makwapa stadium
images (13).jpeg
images (12).jpeg
images (11).jpeg
 
Sasa wajue Finals za AFCON lazima itachezwa Talanta Stadium. 😎
CHAN tu imewatokea puani ndiyo itakuwa afcon, hivi nyie mnadhani Motsepe ni mjinga? Au mnadhani mnavyo play childish humu ndani ndiyo mtafuta aibu tuliyokuwa tunaiimba miaka yote humu? Siku zote nmekuwa nikisema humu nyinyi hamna uwezo wa kuandaa haya mashindano na leo watu wameniamini, nyinyi ni taifa fukara kweli kweli na ndiyo mana nilipata guts za kusema hilo two years ago na kweli mmeshindwa, sasa sikia nikuambie, hamtoandaa afcon.
 
CHAN tu imewatokea puani ndiyo itakuwa afcon, hivi nyie mnadhani Motsepe ni mjinga? Au mnadhani mnavyo play childish humu ndani ndiyo mtafuta aibu tuliyokuwa tunaiimba miaka yote humu? Siku zote nmekuwa nikisema humu nyinyi hamna uwezo wa kuandaa haya mashindano na leo watu wameniamini, nyinyi ni taifa fukara kweli kweli na ndiyo mana nilipata guts za kusema hilo two years ago na kweli mmeshindwa, sasa sikia nikuambie, hamtoandaa afcon.
Meza wembe ufe watchman 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna atakayeomboleza
 
Mngekuwa na nguvu ya kiuchumi mngeshidwa kuwa na viwanja vilivyo tayari mpaka January hii, AIBU AIBU kwa kenya uchumi wa makaratasi
Tuliza kende bongolala kesho utazame draw ikifanyika live from East Africa's most important city Nairobi. Kisha usubiri mechi ya ufunguzi na fainali pia Nairobi
 
Back
Top Bottom