concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Kwanza mwaka huu tuvune ufuta tena tukafanye sherehe ya kunywesha paka bia ndo wajue hatuna njaaJamaa anachanganyikiwa 🤣 🤣 🤣 Harudi tena
Kwanza mwaka huu tuvune ufuta tena tukafanye sherehe ya kunywesha paka bia ndo wajue hatuna njaaJamaa anachanganyikiwa 🤣 🤣 🤣 Harudi tena
Yaan tukienda kwa kukinganisha na population yao ya 55,100,000 kwa poverty rate wana watu kiasi cha 21,489,000Jamaa anachanganyikiwa 🤣 🤣 🤣 Harudi tena
Kunyan wenyewe wanazificha zingine na kujifanya ipo kibera tuSlum 110 ndani ya naipori 😁😁😁🫣🫣🫣
sasa hizo isuzu ndio unakuja kutuonesha hapa. Nilidhani unatuonesha Tanks 🤣 🤣 🤣
Lengo lako lilikua ujiproud mna supermarkets nzuri,priority ya TZ kwanza kuwezesha jamii ya chini huku than kuwa misupermarket kwa ajili ya sifa,TZ tuna local markets hata huo ushuzi supermarkets zenu azzifikii,hii yote kuweka usawa na kuondoa matabaka,hii 👇 ni local market TZ,kwenu huko ni mallKubali tu hamna supermarket yenye hadhi ya Naivas just the same way sisi pia hatuna bus terminal. Mbona mambo rahisi mnafnya yawe magumu?
So leo hatajapika data? 🤣🤣Mibongolala mnachekesha kweli.News ya Miaka 6 iliyopita. Sisi tunaongelea news ya 2025 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇
View attachment 3202620
Kenya’s poverty rate stands at 39.8%, says National Bureau of Statistics (KNBS). This is the East African Community poverty rate picture:
Somalia: 70%
(R Congo): 63%
Burundi: 56%
Kenya: 39.8%
Uganda: 37%
Tanzania: 26%
Rwanda: 25%
Bongolala, kubali yaishe. You can't have everything. Masoko tunazo tena makubwa mno but bado supermarket industry yetu inathrive. Ama unataka kuona picha za masoko ndio uridhike?Lengo lalo lilikua ujiproud mna supermarkets nzuri,priority ya TZ kwanza kuwezesha jamii ya chini huku than kuwa misupermarket kwa ajili ya sifa,TZ tuna local markets hata huo ushuzi supermarkets zenu azzifikii,hii yote kuweka usawa na kuondoa matabaka,hii 👇 ni local market TZ,kwenu huko ni mallView attachment 3202634
Kama utapost soko za maana basi hazizidi tano.Bongolala, kubali yaishe. You can't have everything. Masoko tunazo tena makubwa mno but bado supermarket industry yetu inathrive. Ama unataka kuona picha za masoko ndio uridhike?
Hivi unajua most tanzania hupenda privacy. Hayo tumewaachia maskini wasioweza kujengaAnd then what you gonna do ?… post another propaganda?… have no time to play cat and mouse game with you …just this one time …
View attachment 3202389
Leta mfano soko lilopo kenyaBongolala, kubali yaishe. You can't have everything. Masoko tunazo tena makubwa mno but bado supermarket industry yetu inathrive. Ama unataka kuona picha za masoko ndio uridhike?
Walau mbili tuKama utapost soko za maana basi hazizidi tano.
Soko ya maana inafananaje?Kama utapost soko za maana basi hazizidi tano.
Ziko over 200 slums in Nairobi alone 🤣🤣🤣🤣🤣Slum 110 ndani ya naipori 😁😁😁🫣🫣🫣
Mm nilikuwa naangalia barabara na public transport 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa hizo isuzu ndio unakuja kutuonesha hapa. Nilidhani unatuonesha Tanks 🤣 🤣 🤣
Wapi hii? Au kisutu, safi sn, tumefika sehemu nzuri sn, market safi, mpangilio mzuri, kweli sisi ni civilized nation.Lengo lalo lilikua ujiproud mna supermarkets nzuri,priority ya TZ kwanza kuwezesha jamii ya chini huku than kuwa misupermarket kwa ajili ya sifa,TZ tuna local markets hata huo ushuzi supermarkets zenu azzifikii,hii yote kuweka usawa na kuondoa matabaka,hii 👇 ni local market TZ,kwenu huko ni mallView attachment 3202634
Hii pekee inatosha to know your mate🤣🤣🤣So leo hatajapika data? 🤣🤣Mibongolala mnachekesha kweli.
Alafu unaona mlivyo wajinga. KNBS has 2022 figures (the most recent recent) alafu wewe hapa unatuambia 2025. Hizo za 2025 ulitoa wapi?
Let's assume those Kenyan figures are true, can you now give us your country's figures from TNBS?