Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Iko wapi tanzania?
palm village ipo na hii ni moja ya shopping nilifanya kwao👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

IMG_2729.jpeg
 
Ukitaka kujua kama hawa jamaa ni Miku..ndu hizi ndio hizo china square wanataja kuwa nazo, them actually normal supermarkets. 👇🏾View attachment 3195829ingine hii 👇🏾View attachment 3195830😂😂😂😂. Hivi hawa Vichaa wametuonaje.?
Shida yao ni moja, hawapendi kupitwa na Tanzania, wanaleta ubishani mpaka kwenye vitu vipo wazi kabisa, mfano mpaka leo bado wanabisha kuhusu sgr japo wanaona aibu lkn tungekuwa hatuifahamu vzr nchi yao wangeungana kuongopa, mtu mpaka leo anabishana kuhusu uzalishaji wa umeme baina ya Tanzania na Kenya, really? Alafu walivyo sio waaminifu, wote wanaungana kubishana kitu ambacho wanajua wamezidiwa, sisi humu ukiongopa tu kuna mtu atakuja akusahihishe, ni kwasababu tuko matured enough no room for lies, kwasababu kama huna huna tu hata ufanye nn, wakenya wana safari ndefu sn kuja kuwa civilized people.
 
😂😂 mzee hizi ni duka za kawaida the likes of Oca deco and Danube home and Home city Dar es Salaam. Usilazimishe vitu we kilaza. 😂😂
We are not talking about deco shops au maduka ya kuuza home appliance pekee wacha ushamba. 🤣 🤣 🤣 China Square inauzwa karibu kila kitu apart from chakula. Nyinyi ngojeni stalls zenu in peace. 🤣🤣🤣


View: https://www.youtube.com/watch?v=mSv2i1AOfWU
 
Wanakuja kununua kwa stalls. 🤣 🤣
Ushawahi fika kwenye niashara kubwa ya jumla yoyote hata hapo kwenu.? 😂😂 seems you are ignorant. Always biashara za jumla zinakuanga na ka display kadogo. Huyu hapa ni baba Levo akiwa turkey huko kwene commercial and logistic center. Check hizo displays in it. Baba Levo on Instagram: "Wafanyabiashara Wa DECORATION Hili Hapa CHIMBO LENU Hapa UTURUKI 🙌🏻🙌🏻 Njooni ISTANBUL @silent_ocean_ltd TUTASAFIRISHA MZIGO WAKO MPAKA TANZANIA KWA BEI NAFUU SANA 🙏". Haya toka upumbavu ulionao hapa. 😂😂
 
We are not talking about deco shops au maduka ya kuuza home appliance pekee wacha ushamba. 🤣 🤣 🤣 China Square inauzwa karibu kila kitu apart from chakula. Nyinyi ngojeni stalls zenu in peace. 🤣🤣🤣


View: https://www.youtube.com/watch?v=mSv2i1AOfWU

Pitia hii wewe kilaza 👇🏾
Ushawahi fika kwenye niashara kubwa ya jumla yoyote hata hapo kwenu.? 😂😂 seems you are ignorant. Always biashara za jumla zinakuanga na ka display kadogo. Huyu hapa ni baba Levo akiwa turkey huko kwene commercial and logistic center. Check hizo displays in it. Baba Levo on Instagram: "Wafanyabiashara Wa DECORATION Hili Hapa CHIMBO LENU Hapa UTURUKI 🙌🏻🙌🏻 Njooni ISTANBUL @silent_ocean_ltd TUTASAFIRISHA MZIGO WAKO MPAKA TANZANIA KWA BEI NAFUU SANA 🙏". Haya toka upumbavu ulionao hapa. 😂😂
 
Back
Top Bottom