muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,759
- 4,854
.bweni ni mbali sana aisee.... it's above 35Km kutoka town. Nothing less.na waambie iko over 25km from CBD 😂
.bweni ni mbali sana aisee.... it's above 35Km kutoka town. Nothing less.na waambie iko over 25km from CBD 😂
Yeye anadhani biashara ni simple sn, yn mtu aache kuja kuchukua mzigo wa jumla kwa bei rahisi aende kuwauzia kina nairobae at exorbitant price apige pesa, eti asubiri mzigo pale kwenye ile inefficient port of mombasa kwa masiku kibao. Wakenya watake wasitake maduka yao yatajaa bidhaa kutoka China ya Tanzania.Wewe ni zuzu hasa. 😂😂 anaekuja kununua ubungo si wewe, Labda kama wewe ni business owner, anaekuja kununua Ubongo ni wafanya biashara wakubwa kilaza wewe.
ni supermarket kama supeemarket zingine yani hawa jamaa ni wivu wakuona kua pale ubungo ndio patakua china ya africa hii na time will tell kama walivojazana kariakoo wakinunua nguo kwa jumla na hapo utawaona piaUnampiga nyundo lakini yupo tu. 😂😂😂
China square ni normal supermarket. Wewe ukitaka ulie. Ila ukweli utabaki hivyo.Si hizo ndio supermarkets mumezoea huko bongoslum, unanionyesha duka ya kuuza home decoration eti ndio kama China Square yenu. 🤣 🤣 🤣
China Square Kisumu, watu wa one city country mtulie mngoje stalls zenu ziishe, hii level hamjafika bado.China square ni normal supermarket. Wewe ukitaka ulie. Ila ukweli utabaki hivyo.
China Square Kisumu, watu wa one city country mtulie mngoje stalls zenu ziishe, hii level hamjafika bado.
View: https://www.youtube.com/watch?v=jimtNbAtaaA
Unaumia ukiwa wapi?Leo mmepata approval mnashangilia hao. 😂
Wewe mwenye unaita garage showroom au mtu mwingine? 🤣 🤣Unataka nikueleze kwanini Tz sio one city country but kenya ndio ipo hivyo.? 😂
Mko serious na train kukwama ama? 🤣 🤣Watu tuko serious nyie mnaleta uchale.
Unataka nikueleze ni kwanini.? 😂😂Wewe mwenye unaita garage showroom au mtu mwingine? 🤣 🤣
Nataka unieleze mbona train yenu inakwama kwama hadi abiria wanawekwa kwa mabasi.Unataka nikueleze ni kwanini.? 😂😂