Msemaji mkuu wa serikali akijibu propaganda za watu wanao zisambaza wakiwa Nairobi.Normal Operations began wacha kua in denial, kukwama inawapiga kitu hadi munataka kuagiza diesel engines. 🤣 🤣
Afadhali huyo amepost passports. Kuna mitanganyika zimepost hadi simu na wristwatch humuUkichaa na ushamba unakusumbua. Na bado 24/7 upo JF 🤣 🤣 🤣 🤣
Wajaribu hata na miti shamba pia. Kifafa ni ugonjwa mbaya sana kwa treni ya umma!😂Hakuna battle hadi Train yenu ipone kifafa kwanza.
Samia alienda kukamisheni "performance tasting" kwakua kwenye hii stage, treni ni lazima ibebe mzigo halisia ambao ni watu wasafiri nayo. Kwenye kukabidhi mradi kutakuwa na tafrija mkandarasi akikabidhi mradi ukiwa 100% working na bila changamoto.Kwa hivyo Samia alienda kufungua upepo. 🤣 🤣 You are a smart fool.
Na hata ikikwama ila itawahi kufika kuliko ya kwenuHio sijui lakini kitu najua, ni eti inaweza kwama anytime bila warning.
Post ni lini imewahi fika on time kama ilivyo kwenye timetable, tunachojua always iko late Zaid 30 minutesTrain yetu hua haikwami ovyo ovyo kama hio yenu and it's always on time.
Kuna mwenye anakaa hapa kukushinda kijana wa Tandale?😀😀😀 Magical Kundudweller.
You defend from what?
Kukaa 24/7 in JF is to defend Kundustan.
Ningekua mpumbavu kama ww ningeweka pasi ya TZ na nilipo then nikaandika uber sealt ushaenda kupiga doordash baada ya abiria kukataI told you I can fly to Dar any time and your auntie will dance 💃 for me…🤣🤣…. I don’t need a visa … they will be honored to give me one at the Mabati Rolling Mills Airport ….
View attachment 3194225
Kwenye hewa🤣🤣Eti maghorofa zinajengwa wapi? 🤣🤣🤣
![]()
Ndio kwa maana nakuita a smart fool. 🤣 🤣 🤣 Kwa hivyo abiria munatumika kama test mules sahii. Punguza ujuaji na kiherehere. Ebu pitia hii article upunguze ujinga.Samia alienda kukamisheni "performance tasting" kwakua kwenye hii stage, treni ni lazima ibebe mzigo halisia ambao ni watu wasafiri nayo. Kwenye kukabidhi mradi kutakuwa na tafrija mkandarasi akikabidhi mradi ukiwa 100% working na bila changamoto.
Hii sio mafuta kaka, ni high speed train ya kiwango cha juu sana. Get used to it and learn hili na lile ili mkifika level hizi muwe tayari mnatambua haya.
Nikama watatembelea wachawi very soon ju hio shida ya kukwama nikama imewashinda.Wajaribu hata na miti shamba pia. Kifafa ni ugonjwa mbaya sana kwa treni ya umma!😂
Angalia roofing ya mkapa stadium then linganisha na hiyo jua kali.
Lini mlishawahi kumiliki freighter kubwa kuliko 767 300F. Ukinionesha ushahidi natoka JF sasa hivi.Nyef nyef ulisema hakujawai kua na a bigger freighter than a Boeing 767 in East Africa. Shida yenu ni ushamba.
Wewe ndio umeleta allegations za kipumbavu, wewe ndio unafaa kuprove hua inachelewa kila siku. Sisi tushaprove train yenu hua inakwama mara kwa mara.Post ni lini imewahi fika on time kama ilivyo kwenye timetable, tunachojua always iko late Zaid 30 minutes
Mwambie kuwa bado Kuna wakandarasi wanaendelea na kazi pale kilosa na dodoma, kwa mfano ukifika ihumwa Kuna kibao kinaelekeza kabisa speed ya 39km/ hr maana Kuna kidaraja bado hakijakaa sawa. Pia mwambie pale dodoma terminal mkandarasi bado hajamaliza kuweka reli ndani ya station ya abiria ili watumie Ile underground bypass .Wewe ni mpumbavu!
Normal operation huanza mkandarasi akikabizi mradi kwa client. Junbe tubajibizaba na watu waiso na akili kiasi hiki 🙄
Mpaka sasa mradi uko kwenye testing na ni liability ya mkandarasi.
KQ na Astral Aviation walikua na 747-400 na Astral Aviation hadi sahii wanamiliki 767-300F na wanapanga kuongeza ingine huu mwaka. Au munadhani KQ pekee ndio kampuni ya ndege with freight operations in Kenya. 🤣 🤣 🤣 Ushamba ndio mutawacha nyinyi mafala.Anha
Angalia roofing ya mkapa stadium then linganisha na hiyo jua kali.
Lini mlishawahi kumiliki freighter kubwa kuliko 767 300F. Ukinionesha ushahidi natoka JF sasa hivi.
kwani ni mm nilikuwepo hvi kuna mtu hajui nairobi inaongoza africa kwa wizi na corruption??😂😂😂 au hii 2025 unataka kumdanganya nani asiejuaPoor acting. Everyone can see that. How did the cameraman know the robbery was going to take place ndio asimame na camera? Alafu mbona jamaa katoa kichwa yote nje akiongea Kwa simu?
Na kadiri engine inavyozidi kuchoka efficiency inapungua watafija mpaka 50kph.mara ya mwisho sgr kenya kuruise kw spidi ya 110 ilikuwa lini vile maana hapa kila video inaonesha 90 mpaka 95