Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio kwa maana nakuita a smart fool. 🤣 🤣 🤣 Kwa hivyo abiria munatumika kama test mules sahii. Punguza ujuaji na kiherehere. Ebu pitia hii article upunguze ujinga.


Those are stages of commissioning. kwenye performance testing ni lazima train iwe na "real load" ambao ni abiria. Wewe ulitaka itembee bila real load?
Hayo mambo yalifanyika kipindi hiki na hii locomotive ya Austria
1736186156090.png


It has happened couple of times, but not as disseminated by propagandists.

Hizi ndizo Commissioning stages na sisi tupo: Performance testing ya treni za abiria, then za mizigo.
"Performance testing
assess the system's responsiveness and stability under diverse scenarios. It's not just about ensuring the project works"

Safari yetu sisi ni ndefu na sio kama yenu.
View attachment 3194298
1736185939188.png
 
KQ na Astral Aviation walikua na 747-400 na Astral Aviation hadi sahii wanamiliki 767-300F na wanapanga kuongeza ingine huu mwaka. Au munadhani KQ pekee ndio kampuni ya ndege with freight operations in Kenya. 🤣 🤣 🤣 Ushamba ndio mutawacha nyinyi mafala.
mafala ni nyinyi msiobadilika bado munawaza kudanganya dunia ambayo iko 2025 dunia iliojaa utandawazi😂😂😂

sasa hvi hata mtoto wa miaka 2 huwez kumdanganya anything kwenye hii dunia

nani hajui kq owns fully 3 aircrafts out of 38 ambazo 20 of them mumekodi kutoka mashirika tofaut na zilizobakia ni loan kutoka bank za nje moja wapo ikiwa ni exim?? au hilo pia hujui 😂😂😂😂😂
 
Wewe ndio umeleta allegations za kipumbavu, wewe ndio unafaa kuprove hua inachelewa kila siku. Sisi tushaprove train yenu hua inakwama mara kwa mara.
Haha usipaniki. Treni yenu kwa sasa ni ngumu hata kuvuka speed 100km/hr yaan hiyo yenu mnatakiwa muilinganishe na mgr ya Tanzania ambayo inatumia masaa kumi 12 mpaka dodoma ila inasimama vituoni kwa karibia nusu saa kila kituo.
Compare that thing of yours na mgr ya Tanzania kwa sababu bado Ile kelele ya kata miti kata miti iloweza iloweza.
 
Wewe ni mpumbavu!
Normal operation huanza mkandarasi akikabizi mradi kwa client. Junbe tubajibizaba na watu waiso na akili kiasi hiki 🙄

Mpaka sasa mradi uko kwenye testing na ni liability ya mkandarasi.
Sijawahi sikia popotw dunian mkandarasi akikabidhi kazi ikiwa na 99% ya completion.
Ni sawa na nyerere dam iko kwenye 98% ila bado mitambo mitatu haijawashwa
 
Mwambie kuwa bado Kuna wakandarasi wanaendelea na kazi pale kilosa na dodoma, kwa mfano ukifika ihumwa Kuna kibao kinaelekeza kabisa speed ya 39km/ hr maana Kuna kidaraja bado hakijakaa sawa. Pia mwambie pale dodoma terminal mkandarasi bado hajamaliza kuweka reli ndani ya station ya abiria ili watumie Ile underground bypass .
Wakenya wana roho mbaya na ujuaji usio kuwa na mpango kwakua wanahisi wao ndio walitakiwa kufanya tunayo yafanya, so long kwamba sisi tumetangulia imewauma sasa wana compensate maumivu ya roho zao kuwa wao walikuwa sahihi kwenda na dubwana la mafuta.
 
Ningekua mpumbavu kama ww ningeweka pasi ya TZ na nilipo then nikaandika uber sealt ushaenda kupiga doordash baada ya abiria kukata
Unaumia ukiwa wapi ?…. Ati TZ passport…. Nobody gives a rat’s ass about your LDC passport outside of Uswaziland … 🤣🤣😄
 
mafala ni nyinyi msiobadilika bado munawaza kudanganya dunia ambayo iko 2025 dunia iliojaa utandawazi😂😂😂

sasa hvi hata mtoto wa miaka 2 huwez kumdanganya anything kwenye hii dunia

nani hajui kq owns fully 3 aircrafts out of 38 ambazo 20 of them mumekodi kutoka mashirika tofaut na zilizobakia ni loan kutoka bank za nje moja wapo ikiwa ni exim?? au hilo pia hujui 😂😂😂😂😂
Hiyo boeing 747 ilikuwa wet leased hawana jeuri ya kumiliki freighter ya maana.
 
Hiyo boeing 747 ilikuwa wet leased hawana jeuri ya kumiliki freighter ya maana.
Wet leasing is an aviation industry practice where one airline leases an aircraft, crew, maintenance, and insurance to another airline or business. The lessee pays the lessor by the hours the aircraft is operated.
Yaan mpaka rubani unamkodi kutoka ulipo kodi
 
Hakuna treni iliyokwama hizi ni hila za waendesha accounts za Chadema.
Taarifa zote zinawekwa bayana kwenye accounts zote za twitter, IG na kwingineko.

Nyie mnatatizo ndio maana mnaokota kila habari mbaya hata zisizo na ukweli. Na tatizo lenu ni "KIJIBA".


View: https://x.com/tzrailways/status/1871885570793980258

So unapingana na video evidence? Haya Ebu tuambie hiyo video ilikuwa ya lini? Kama sio Jana. I’m sure hata kesho hiyo train yenu itakwama tena.
 
Back
Top Bottom