Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

emoji106.png
emoji106.png
emoji106.png
umenena mkuu
Mkuu ungetuonesha huo usafiri wao wa jiji"
Hizo garden ziko mifukoni mwenu?? Maana wewe na wakenya wooote mmeshindwa kuziweka picha hapa.

Flyover za waenda kwa miguu dar zimejaa sana , wewe ulifika mwaka gani????

Dar wameweka picha, za majengo marefu, bila Nairobi kujibu kwa picha.
Makazi yaraia wakawaida dar ni bora kuliko Kenya. Hizo hotel na migahawa dar iko juu.
Kenya juice zenu jaman zinasukari ziko conc sana ni yale yanahitaji knowledge of dilution reff chemistry in volumetric analysis,Wakat nasoma Moshi ndio zilikuepo kipindi bado mdogo nowadays zimekauka madukani azam and mo products zimetawala ...bidhaa za kenya nyingi zinakosa soko na tumeshazisahu
 
To lead in industrial milk is quite different from local organic milk production, Tanzania huwa tunapendelea maziwa natural kutoka zizini ambayo is not statistical taken like industrial products.

Tanzania mida ya jioni na asubuhi kwenye local shops unakuta maziwa fresh yanauzwa locally which is the most popular way of selling milk and bigger number of milk ltrs are sold out in that way compared to the packed milk which most of them are not organic and Tanzanians do not trust them.
Are you excusing failure? What happens to the excess. Households can only use so much... Ata cooperative societies hivi za collection..
 
Back
Top Bottom