kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
comment of the day..eti shooting wakafanyie wapi?...Wana hela ya kwenda south ka nyie hamna tulieni tuu shooting mkafanyie uhuru park hahahahaha ...sema tu hamna hela yaisheee

comment of the day..eti shooting wakafanyie wapi?...Wana hela ya kwenda south ka nyie hamna tulieni tuu shooting mkafanyie uhuru park hahahahaha ...sema tu hamna hela yaisheee

Naona vyumba vibovu hapo chini.Saw this too from the Architect.
![]()
![]()
Unajua mtu akiwa already injected na bad ideology kuhusu asili yake anakua kituko, wakenya ni mfano mzuri wa twisted minded people sababu tu wazungu wanafakamia makemikali na wenyewe ndio wanaona ndio standard lifestyle kumbe ni ulimbukeni.
Mkenya yupo radhi aharibu pesa kwa nauli kutafuta supermarket au mall ili afanye shopping like a white man wakati hiyo bidhaa ameiacha kwenye vibanda vya kibera hiyo ndio prestige yao.
Wanaujinga sana hawa jamaa mda mwingne hadi wanakera yaancomment of the day..eti shooting wakafanyie wapi?...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
icho na annael hawa jamaa wamewakosea nini?...mbona mnawatesa sana kwa hizi picha?. punguzeni bhana.

Mbona unapapara? Hata kariakoo ilikuwa na vijumba vidogo vidogo lakini leo hii Nairobi nzima inalala pale.Naona vyumba vibovu hapo chini.
ghorofa refu nzuri linajengwa sehemu bovu ivo...
U have no questionAnswer my question. I don't need blah blah.
ni kweli,walishindwa kufanya hivyo katika utawala uliopita wa jakaya kikwete.Hawa ni wale wameshindwa kuzuia 60% ya Tembo huko Tz kuangamizwa na wawindaji haramu? ...hawa ni kama scouts tu hawana lipya.
Ha ha ha !!! Umenichekesha, wakikupatia hizo picha unipe mrejesho.Ndio ni watchmen wa mbuga zetu za wanyama. Kwenu wanaoangalia mbuga za wanyama tupatie picha zao.
Hyo ni technique ya serikaliNaona vyumba vibovu hapo chini.
ghorofa refu nzuri linajengwa sehemu bovu ivo...
We talking about cows u deviate... A true looserDo you see? This is how natural things Tanzanians Prefer
![]()
![]()
![]()
![]()
Kijana anaweza kutaka kuchuma ili apeleke kwenye kiwanda cha Uhuru Fruits Processing factory. Sisi hapa unachuma na kula kwanza kisha kinachobaki unapeleka kiwandani.Annael una dhambi.... yaan unatuma embe hizo na zilivyo nzuri wakati unajua majirani njaa kali