Silalamiki, nawacheka. 🤣🤣🤣Mbona unalalamika?
Silalamiki, nawacheka. 🤣🤣🤣Mbona unalalamika?
Second hand units 😂😂That's only Ksh 48 billion, yet Kenya spent Ksh 102 billion for Jan to Oct in 2023 and 123 billion in same period in 2022. Nisiwai skia mumeleta ile argument ya magari tena. 🤣 🤣 🤣
Je, umewahi kumuona mwenye njaa akimcheka aliyeshiba?Silalamiki, nawacheka. 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣That's only Ksh 48 billion, yet Kenya spent Ksh 102 billion for Jan to Oct in 2023 and 123 billion in same period in 2022. Nisiwai skia mumeleta ile argument ya magari tena. 🤣 🤣 🤣
Ukitaka kupanda treni ya umeme africa laxma uje bongo au uende moroc,south au egypty😁😁😁😁😁😁😁Yaani Mkenya kupanda treni ya umeme inabidi aje Tz au aende nchi zilizoendelea. Bahati mbaya wengi uwezo wao ni Tz. Wamejazana kwenye treni wakipata content.
Mtu akikuskia anaezadhani mnanunua magari za zero mileage Kumbe ni watu wa kununua magari za 30yrs old.Second hand units 😂😂
Hiki ni kijaluo?Mtu akikuskia anaezadhani mnanunua magari za zero mileage Kumbe ni watu wa kununua magari za 30yrs old.
High speed train, SGR. Kwa great experience uje Tanzania labda na Egypt ndiko kwenye long network ya haya mambo. SOuth Africa ni 50km only, Morroco ni less than 250km.Ukitaka kupanda treni ya umeme africa laxma uje bongo au uende moroc,south au egypty😁😁😁😁😁😁😁
Mostly from the watchman’s night log book … 🤣🤣Ebu tuonyeshe source ya kule umetoa hio 4000MW sahii tuone.
Sasa na hata maji safi bado ni shida.High speed train, SGR. Kwa great experience uje Tanzania labda na Egypt ndiko kwenye long network ya haya mambo. SOuth Africa ni 50km only, Morroco ni less than 250km.
Kama kawaida yenu, when the data is not in your favor lazima mulie it's fake. Tushawazoea.Hizi ni accounts za mchongo. Hivyo Central African Republic, Burundi, South Sudan, Malawi, Congo Brazzaville, Bukina Faso, Cameroon, Uganda, Niger, Sierra Leon, Liberia, Togo and many others countries are ahead of us.
In the last 10yrs tulikua tuna projects za maji ya billions of dollars zaidi ya $6B. Hizo ni accounts za Wakenya in their attempts kutu-undermine mitandaoni.
Maana tunaambiwa sisi ni least developed, yet tulivyo navyo hawana.
Sasa kwani ni uongo mjomba.? 😂😂 muandike viji articles vyenu halafu mnafosi tuwaaini. Uchizi kweli huu.Kama kawaida yenu, when the data is not in your favor lazima mulie it's fake. Tushawazoea.
Enda ulie kwa ofisi za DW, mimi nimeshare tu data yao.Sasa kwani ni uongo mjomba.? 😂😂 muandike viji articles vyenu halafu mnafosi tuwaaini. Uchizi kweli huu.
Njaa inakusumbua. Ukishiba akili zitakaa sawaEnda ulie kwa ofisi za DW, mimi nimeshare tu data yao.