Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Peleka usenge wako mbali, foleni ni kitu cha kujisifia msenge wewe? Zamani kabla ya brt hapa Dar kulikuwa na foleni kufuru, kutoka ubungo mpaka tazara sio mbali sana lkn unakaa kwenye foleni zaidi ya masaa 5, lkn cku hizi hakuna hicho kitu, so hayo mafoleni hapo kwenu ni kutokana na ufinyu wa roads, hamna barabara za kutosha, lkn pia you guys need to advance your infrastructures.
China wana gari nyingi pengine kuliko gari zote Africa lkn huwezi kuta mafoleni ya kipuuzi kama hapo kwenu, boresheni miundombinu (miundomsingi) muone kama mtakuwa na mafoleni mshenzi kama hayo.
Umekuja na povu ndoo nzima. Bongolala, that's Nairobi-Nakuru highway, mbali sana na Nairobi. It's deep somewhere in the rift Valley. You expect kuona Brt huko? Wewe ni msenge sana. Nunueni magari kilaza wewe
 
Mtu ana julius nyerere hydropower station,brt phase 2,3 na 4 zikiendelea kujengwa,bus terminals za maana,electric train,hivi vitu kundudwellers nzima mnaishia kuviona kwenye movies hapo kati yake na ww nani anajifariji?
Yaani Mkenya kupanda treni ya umeme inabidi aje Tz au aende nchi zilizoendelea. Bahati mbaya wengi uwezo wao ni Tz. Wamejazana kwenye treni wakipata content.
 
Kwani Murkomen bado ni waziri wa michezo!? Si amesha kula tenda za viwanja vyote sasa amekwenda kula hela za sare za Polisi..

Hahaha Kipchumba waziri wa mambo ya ndani sasa. Kasogelea dili mpya.
Damn! I must give it up to you guys, do you live in Kenya? You are more updated than many of us Kenyans lol
 
huku upperhill na CBD zimo ndani ya picha moja😂😂
Mtu anaeza fikiria una make a genius observation kwa huo upuuzi. So what, CBD na upperhill zikiwa ndani ya picha moja?
Hii hapa Upperhill ikiwa ndani ya picha moja na Mount Kenya 200KM away.
IMG_9343.jpeg

IMG_9344.jpeg
IMG_9345.jpeg


Here is another one earth na moon zikiwa ndani ya picha moja
Now what?
1734823809486.jpeg
 
Tukiwaambia Kenya kuna magari mengi hamsikii.
Have you wondered how Texas - Illinois got that massive traffic congestions during pick hours with its advanced road & public transport infrastructure nonetheless? And how many cars do you think you have in your tinny poor underdeveloped drab township called Nairobi compared to Texas ? 0.05% of Texas’ Right ? Why don’t you be bold on poor road infrastructure, poor public transport facilities & utilities?
Hivi wakunya mnasomaga shule gani wenzetu ?
 
More than one 100 buildings are under construction. Angalia hizi picha, then niambia unaona buildings ngapi zinajengwa 👇🏾View attachment 3181753View attachment 3181754View attachment 3181755hii ni street moja tu.
Aisee Kariakoo inajengwa than ever before , ni kama a massive construction site . Ile program ya kuondoa majengo ya zamani na ku replece na majengo mipya ya kisasa inaenda vizuri sana. Ukijumlisha na undergoing massive road infrastructure upgrade inayofanyika Dar , I am curiosity namna jiji litabafilika na kuwa la kijanja in the next 5 years .
We aren’t supposed to be wasting out precious time urging with these fake wazungu weusi tii na kingereza cha kikamba ihali deep down ni mafukara watupu . Such poor souls na makomwe yao.
 
Mtu anaeza fikiria una make a genius observation kwa huo upuuzi. So what, CBD na upperhill zikiwa ndani ya picha moja?
Hii hapa Upperhill ikiwa ndani ya picha moja na Mount Kenya 200KM away.
View attachment 3182078
View attachment 3182079View attachment 3182081

Here is another one earth na moon zikiwa ndani ya picha moja
Now what?
View attachment 3182082
Indeed he is , nairobi is a miniature town .I and colleagues once walked from Westlands pale oracle hadi uhuru park it’s just less than 6kms. 6 KMS kwa dar cbd it’s like you are still in cbd mate . Nairobi is 1/3 of the size of Dar
 
Back
Top Bottom