Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii Kariakoo moja ama kuna nyingine? Do you even have an idea what 100 storied buildings are? 😂 😂
aerial-view-of-kariakoo-street-market-and-cbd-beyond-looking-east-from-kariakoo-dar-es-salaam-tanzania-MGBC6M.jpg
Picha ya 2014. 10 year ago
 
Kwa kujifariji tu we jipumbavu hujambo. Hii picha uliyo download ni ya kitambo. Hili ni jengo U/C nyuma ya jengo la infinix 👇🏾View attachment 3181671
Kijana mdogo, mwenzako amesema kuna nyumba zaidi ya 100 zenye gorofa zaidi ya 20 zinajengwa Kariakoo sasa hivi. Naomba unitajie tu tatu pekee kati ya hizo 100. Nitajie tatu pekee tufunge mjadala alafu tuone nani mpumbavu kati yangu na wewe.
 
Nairobi - Nakuru Highway 20 December 2024


View: https://m.youtube.com/watch?v=8nRNp4zDZCs
Maelfu ya wasafiri waliokuwa wakitumia barabara kuu ya Nairobi - Nakuru na ile ya Nairobi - Mai Mahiu walilazimika kukesha usiku wa kuamkia leo kufuatia msongamano mkubwa wa magari unaoendelea hadi sasa katika barabara hizo.

Tukiwaambia Kenya kuna magari mengi hamsikii.
 
Kkoo tu peke yake kuna zaidi ya 100 yapo under constr,atuyapost coz kwetu si priority yetu,tunapost miradi itakayomgusa kila mtanzania,kwa deni mnalodaiwa then hamna miradi kama wa brt phase 2,3 na 4 kwa wakati mmoja,nyerere dam,sgr n.k,mngekua watu wenye elimu nzuri mngeona aibu kupost maghorofa
Eti kariakoo yapo maghorofa 100 under construction? 🤣🤣🤣
What are you smoking dude? Wakati mnapost hadi nyumba za ghorofa Tano under construction hapo glorified fishing village hizo 100 buildings under construction in Kariakoo si mngekuwa mnapost usiku na mchana?
 
Nairobi - Nakuru Highway 20 December 2024


View: https://m.youtube.com/watch?v=8nRNp4zDZCs
Maelfu ya wasafiri waliokuwa wakitumia barabara kuu ya Nairobi - Nakuru na ile ya Nairobi - Mai Mahiu walilazimika kukesha usiku wa kuamkia leo kufuatia msongamano mkubwa wa magari unaoendelea hadi sasa katika barabara hizo.

Saa umekubali Kenya kuna magari mengine kuliko huko kwenu? Kama unabisha tuletee video kama hiyo ya barabara yoyote Tanzania during this festive season
 
Eti kariakoo yapo maghorofa 100 under construction? 🤣🤣🤣
What are you smoking dude? Wakati mnapost hadi nyumba za ghorofa Tano under construction hapo glorified fishing village hizo 100 buildings under construction in Kariakoo si mngekuwa mnapost usiku na mchana?
Huenda hata ni more than 100 buildings under construction in kariakoo
 
More than one 100 buildings are under construction. Angalia hizi picha, then niambia unaona buildings ngapi zinajengwa 👇🏾View attachment 3181753View attachment 3181754View attachment 3181755hii ni street moja tu.
Show us something like this bongolala.
1724187906251.jpg
1724435397868.jpg

If I come here and claim that there are 100 buildings under construction in Eastleigh, everyone would agree with me because ni kitu kinaonekana. Sio kuja hapa na kipicha cha vijumba viwili under construction na kuanza kutupigia nayo kelele
 
Back
Top Bottom