Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Saa umekubali Kenya kuna magari mengine kuliko huko kwenu? Kama unabisha tuletee video kama hiyo ya barabara yoyote Tanzania during this festive season
Peleka usenge wako mbali, foleni ni kitu cha kujisifia msenge wewe? Zamani kabla ya brt hapa Dar kulikuwa na foleni kufuru, kutoka ubungo mpaka tazara sio mbali sana lkn unakaa kwenye foleni zaidi ya masaa 5, lkn cku hizi hakuna hicho kitu, so hayo mafoleni hapo kwenu ni kutokana na ufinyu wa roads, hamna barabara za kutosha, lkn pia you guys need to advance your infrastructures.
China wana gari nyingi pengine kuliko gari zote Africa lkn huwezi kuta mafoleni ya kipuuzi kama hapo kwenu, boresheni miundombinu (miundomsingi) muone kama mtakuwa na mafoleni mshenzi kama hayo.
 
Westlands

Image


Image

Image
huku upperhill na CBD zimo ndani ya picha moja๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
niliskia kondoo mmoja anasema milo zinatoka kenya ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚


View attachment 3181915View attachment 3181916

Kwa hizi high end products ukienda supermarkets bei yake iko chini kidogo kuliko haya maduka ya mtaani Al maarufu kwa Mangi.

Na supermarket nyingi mzigo wanachukua SA kwa sababu ya bei nzuri. Bidhaa nyingi kwenye supermarket ni either Dubai, China, SA na chache kutoka UK na US.
 
Back
Top Bottom