Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Meanwhile Kunyaland universities are in shamble
20241212_090655.jpg
20241212_090650.jpg



View: https://x.com/dailynewstz/status/1867078475099804107?t=4ZEgbD07YVc32W76ReLx9Q&s=19
 
Narudia, Willy Paul alijiita Msafi kabla Wasafi kuwepo.
😂😂😂 kweli unaguswa wewe. Diamond ameanza kutumia hiyo wasafi hata kabla hajatoka kimziki. Hii hapa picha ya nyumbani kwao tandale Enzi hizo 👇🏾
IMG_3231.jpeg
unaweza kuona hizo kuta zilichorwa logo ya wasafi tangu kitambo hiyo, and guess what diamond ametoka kimziki 2008. Unasema willy paul kajiitamsafi kabla ya wasafi kuwepo.? 😂😂😂 kocho kweli we jipumbavu.
 
It seems in Tanzania having a passport indicates some sort of achievement.

And yes dude not only do I have a passport, but I actually use it to travel the world including your city Daresaalam and Zanzibar

Landing in Dar
View attachment 3174880

Take off from Dar
View attachment 3174882

Landing in Zanzibar
View attachment 3174884
Wacha ujinga, ulichagua picha zinazokufurahisha ndiyo utume humu, kama mm nije huko slum city alafu nichague picha ikionesha ma slums tupu ndiyo nipost humu, kwa bahati mbaya hizo picha umepost hakuna slums kama kwenu, na kama unabisha niweke hapa video ikionesha ma slums ya Kenya wakati pax aki land at Jua Kali international airport.
 
😂😂😂 kweli unaguswa wewe. Diamond ameanza kutumia hiyo wasafi hata kabla hajatoka kimziki. Hii hapa picha ya nyumani kwao tandale Enzi hizo 👇🏾View attachment 3174996unaweza kuona hizo kuta zilichorwa logo ya wasafi tangu kitambo hiyo, and guess what diamond ametoka kimziki 2008. Unasema willy paul kajiitamsafi kabla ya wasafi kuwepo.? 😂😂😂 kocho kweli we jipumbavu.
Muite tu choko wala haina shida, wanatumia nguvu nyingi kuwapaisha wasanii wao lkn nature inawakataa, hivi kweli leo hii tuongelee Mondi vs willy Paulo? Huu ni ujinga.
 
Back
Top Bottom