Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

only Tanzania siyo kenya

IMG-20171218-WA0001.jpg
 
alitoka kwa hiari yake na wala hakushurutishwa!
usilete riwaya na tamthilia nyingi hapa to prove nothing. anyway Sserunkuma sio mtu wa kutolea mfano wowote kuhusu kuhama kwake sababu hatulii pahali pamoja. Alihamia kwote huko baadae akarudi Kpl na kutaka kujiunga na Gor Mahia lakini hakukuwa na nafasi. bali alipata kuichezea Bandari F.C ya Kpl. Kwa sasa yuko Morocco
Simba alishindwa kazi na Gor walishindwa kumlipa alicho demand... hizo nyingine ni porojo!
 
Poleni wakenya meona habari kuna lori limevaana na matatu 17 wamefariki duuu..r.i.p kwa walopoteza uhai mungu awape nguvu ndugu na jamaa zao..ila na jeshi la usalama barabara liongeze juhudi maana wanasema kwa mwez huu december tu more than hundred died kwa accidents
 
Duuuu siamin hayo maneno umeandika wewe hahahaha ....nahisi leo umelala na demu mkali sana asee sio kwa mood nzur hii ulonayo leo...hongera atleast leo umeongea ukwel
Mbona niingie JF kukasirika ilhali Mtanzania pia ni ndugu his veins running with black blood kama yangu. Maendeleo Africa ni advantage kwetu site kama WaAfrica.
 
Kweli mkuu.. unajua nchi yenye uchumi mkubwa inabidi hi dominate sector mpka za michezo na burudani. Sasa hapa E.A ni tofauti.

Early this year Azam wali visit Rwanda for a pre season, waandishi wa habari wa Rwanda waka omba kujua what Rwanda can do to so as league yao iwe level ya VPL, na wana watch VPL sana. Their long time captain and arguably best player ever Niyonzima amecheza bongo kwa takribani miaka 7 na amefanya maendeleo makubwa kwao mpaka una eza uka hisi anacheza Europe.

Burundi's best Mavugo and Tambwe wote wapo Bongo na wana lipwa pesa nzuri sana. Gari analo endesha Tambwe ata waziri wa Burundi ana tetemeka.

Uganda's Ronaldo.. okwi this is according to Micho ex Ugandan national team coach yupo Bongo anakula mshahara sawa na mbunge.

Singida united imepanda premier leaugue this season ina players kotoka Zimbambwe, Rwanda, Burundi and Zambia ambao wako national teams.

Jesse were.. Kenyan international, Zambia's premier league top scorer next season ana sign Simba.
kaka ni kama ulikuwa unatembea kwenye akili yangu...nilitaka nianze kuelezea hayo uliyoyaeleza.

umemaliza kila kitu.sina cha kuongeza.
wa kukuelewa wamekuelewa,wa kutoa povu watatoa ila hautabadili ukweli.
 
Sportpesa is sponsoring teams in tz,south A ,UK na tumenyamaza....Azam gets rights to air a one week tournament and kadoda becames so happy that he cums on his pants
 
Sportpesa is sponsoring teams in tz,south A ,UK na tumenyamaza....Azam gets rights to air a one week tournament and kadoda becames so happy that he cums on his pants
inaonekana roho inakuuma sana kwa azam kupenya soko la kenya.pole sana dogo.

hiyo kauli kawaambie KOT uone vile watakujibu.
 
kolo mjibuni huyu mkenya mwenzenu....ana maswali yake muhimu kauliza.
64dccf40b55f4339b4b335c9b58e2898.jpg

anadhani gharama ya kununua modern equipments special for broadcasting big sport events ni sawasawa na gharama ya ku-rent 3 bedroom apartment hapo nairobi.smh
 
huyu bila shaka atakuwa ni member wa jf....sio kwa povu analotema huko Twitter....eti one camera.smh
6a2d1c8c49f1ad1c05768456cb7ec07e.jpg
 
Back
Top Bottom